Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Okay...so sehemu nyingine ataendelea na mishe zake??Kuna sehemu nimesoma, kapigwa ban na FA ya Italy
Sababu haikutajwa bado
Okay...so sehemu nyingine ataendelea na mishe zake??Kuna sehemu nimesoma, kapigwa ban na FA ya Italy
Sababu haikutajwa bado
Ataendelea, maana yeye katika kufafanua ndio alisema kwamba after all hiyo ban (3 months) ni ndani ya Italy tu. Lakini pia anaikatia rufaa.Okay...so sehemu nyingine ataendelea na mishe zake??
Hapana FIFA wame expand ban to global scaleAtaendelea, maana yeye katika kufafanua ndio alisema kwamba after all hiyo ban (3 months) ni ndani ya Italy tu. Lakini pia anaikatia rufaa.
Asante kwa taarifaHapana FIFA wame expand ban to global scale
View attachment 1093929
Goodbye ladHerrera ame announce hivi punde rasmi anaondoka MUTD with special thanks to the club and fans
klabu lazima iendelee na maisha piaHivi kweli ukasign new contract kwa young, smalling and Jones na ukaacha kumng'ang'ania HERRERA asiondoke sasa hii nini maana yake?!!!!!.... Obviously hii haiclick kabisa kichwani
anahitaji kusimamiwa na mwalimu mwenye CV nzuri ya kutengeneza young players mfano guardiola, klopp.Mkuu ana skills za kutosha, japo mbio ni silaa yake kubwa
Mechi ya City amemtesa sana Otamendi na Walker
Ni Muingereza huyu?anahitaji kusimamiwa na mwalimu mwenye CV nzuri ya kutengeneza young players mfano guardiola, klopp.
namuona ana kasoro nyingi zinazopaswa kurekebishwa kama guardiola na sterling kwa mfano ana papara au haraka haraka ya kufanya maamuzi .
tutafanya makosa makubwa sana kama ndiye atakayekuwa usajili wetu wa pekee eneo la winger.
anaonekana ni kijana mwenye bidii na asiyekata tamaa kama gareth bale.
harry redknapp alimtengeneza gareth bale na kuwa tishio, wacha tumsubirie OGS tumuone atawaibuaje wachezaji vijana.
sura nyengine ya damushin
swadakta upo sahihi anatokea walesNi Muingereza huyu?
Sawa kabisa lazima maisha yaendelee lakini si maisha yaendelee na kina young na akina jonesklabu lazima iendelee na maisha pia
Nafuu hata Jones. Ingawaje kuna watu wanamkubali binafsi Young huwa simwelewi kabisa!!Sawa kabisa lazima maisha yaendelee lakini si maisha yaendelee na kina young na akina jones
Young yameshakua maji ya jioni na yeye analijui hilo Anajua kabisa hastahili Namba kwenye timu yeyote top sixNafuu hata Jones. Ingawaje kuna watu wanamkubali binafsi Young huwa simwelewi kabisa!!
Young wa fergie kapotea saiv. Kipind akiwa Aston Villa, hlf akaja united, alikua tishio sana. Saiv kawa uchochoroNafuu hata Jones. Ingawaje kuna watu wanamkubali binafsi Young huwa simwelewi kabisa!!
Naelewa jinsi unavyoumia,mimi binafsi niliumia sana kuuzwa kwa RVP.Nimeumia sana moyo sana Sana tangu niifaham Manchester United Herrera ndio my best player of all time.
Ni bora kuwapoteza kina Pogba wa 5 kuliko Herrera mmoja.
Dah Tutamkumbuka View attachment 1093984
Kipindi hicho hakuwa bekiYoung wa fergie kapotea saiv. Kipind akiwa Aston Villa, hlf akaja united, alikua tishio sana. Saiv kawa uchochoro