Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Habari za pogba ni nyingi sana,na kama kuna habari sipendi kuziona kama takataka ni hizi zenye jina la huyu mchezaji
 
Hivi si nilisikia tunamtafuta kwa udi na uvumba yule dogo Wa benfica joao Felix na scouts na maafisa Wa man U washamfatilia sana,sasa mbona naona kama City ndio wanaongoza kwenye mbio za kumpata?
 
Klabu inakera hii yan Sana. Saa ingn unaona bora sijui kifo kitumike kinyofoe baadhi ya watu pale OT ili mambo yakae sawa. Hata kama herrera ana 29 ambay anastahili na alistahili mkataba mpya anaondoka free kweny msimu huo huo ambao young mweny 33yrs at £110000 a week na hakuna anachofanya zaid ya kutimiza idadi ya wachezaji 11, jones at £120000 a weeek? Kuna kikundi kingine kile cha Ngonjera..wakina pogba na lingard. Surely inaonyesha hata herrera hakutaka kuondoka, ni basi tu Young kaloga mkataba wa herrera usifanikiwe
 
Hivi si nilisikia tunamtafuta kwa udi na uvumba yule dogo Wa benfica joao Felix na scouts na maafisa Wa man U washamfatilia sana,sasa mbona naona kama City ndio wanaongoza kwenye mbio za kumpata?
timu tatu zinaweza kutuma offer kwa mchezaji mmoja hapo sasa inabaki kazi ya timu na mchezaji kusikiliza offer nzuri.
pia usikute United hawana mpango wowote na huyo dogo isipokuwa wakala wake na magazeti yanataka kufanya biashara.
Barca na Madrid wanahusishwa na Jovic lakini sio habari ya mjini, je ushawahi kujiuliza ingekuwaje huyo dogo angehusishwa na timu yako??
huyu Herrera pamoja na uhodari wake lakini angeachwa na Madrid au Barca wala isingekuwa story.
 
Hivi si nilisikia tunamtafuta kwa udi na uvumba yule dogo Wa benfica joao Felix na scouts na maafisa Wa man U washamfatilia sana,sasa mbona naona kama City ndio wanaongoza kwenye mbio za kumpata?

UAE Royal oil money inazidiwa na Barcelona, Real and PSG tu linapokuja suala la Kutumia hela kwa ajili ya usajili!!
Usishangae kusikia wanaongoza mbio za usajili.
Nadhani pepe mwakani anataka Achukue EPL kabla ya hata Round ya kwanza kumalizika.
Yani dah! Jinsi kikosi chake kilivyo ndiyokwanza anaingia sokoni kuongeza wachezaji!!!!!!!
 
UAE Royal oil money inazidiwa na Barcelona, Real and PSG tu linapokuja suala la Kutumia hela kwa ajili ya usajili!!
Usishangae kusikia wanaongoza mbio za usajili.
Nadhani pepe mwakani anataka Achukue EPL kabla ya hata Round ya kwanza kumalizika.
Yani dah! Jinsi kikosi chake kilivyo ndiyokwanza anaingia sokoni kuongeza wachezaji!!!!!!!
Daaa hatari sana kaka. Ila wanapaswa kuelewa kuwa kwa sasa kwa kiasi kikubwa mafanikio yanaletwa na management nzuri na uwekezaji Mkubwa. Ha ha ha ha nimecheka sana ulivyosema jamaa anataka kumaliza shughuli mapema kabla ya round ya kwanza kuisha. Hongera sana asee kwa ile international comeback wazee!
 
Kwani hazard ndio star pekee pale Chelsea!?

Sisi mastaa tunao wengi tofauti na nyie mna pogba, De gea, na mata pekee
Braza hazadi ndiye anayeifanya chelsii kuwa timu tofauti na agresivu kwenye kushambulia. Akiondoka mtalimia meno. Hazadi pale chesii ni kama Messi pale Baselona,akiondoka tu hata swansii wataomba wahamie Hispania ili wakainyanyase Baselona
 
UAE Royal oil money inazidiwa na Barcelona, Real and PSG tu linapokuja suala la Kutumia hela kwa ajili ya usajili!!
Usishangae kusikia wanaongoza mbio za usajili.
Nadhani pepe mwakani anataka Achukue EPL kabla ya hata Round ya kwanza kumalizika.
Yani dah! Jinsi kikosi chake kilivyo ndiyokwanza anaingia sokoni kuongeza wachezaji!!!!!!!
PEP ndivyo alivyo,jamaa yupo serious sana.
 
Nimeumia sana moyo sana Sana tangu niifaham Manchester United Herrera ndio my best player of all time.
Ni bora kuwapoteza kina Pogba wa 5 kuliko Herrera mmoja.
Dah Tutamkumbuka View attachment 1093984
Hata kwa miaka mi5 nyuma hawezi kuwa yeye kuna akina DE GEA... ila ANDER anaondoka kipindi tunamhitaji mno wanabaki wala posho wasio na umuhimu wowote.
Bye Ander kwa kazi yako tunashukuru sana..
United ipo tunaendelea na mapambano.
 
Kwani hazard ndio star pekee pale Chelsea!?
Sisi mastaa tunao wengi tofauti na nyie mna pogba, De gea, na mata pekee
Mbn unapinga ukweli unaoujua kabsa! Aondoke hazard tu na wachezaji wengine wabaki, uone mtakavyopukutika na
kitakachotokea kweny timu yenu. Bora hata umejitahid kutaja wachezaj wa3 wa united kuliko nyie ambao mnao mmoja tu.
 
Back
Top Bottom