Hammy Trafford
Member
- Aug 19, 2018
- 43
- 76
Luke Shaw ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa wachezaji wa Man United kwa kumzidi Lindelof kura Moja tu
Maslahi kwanza hata ungekuwa wewe ungeondoka lakini isiwe suala la kulazimisha kwamba kwakuwa anapenda timu ndo akubali hela anayoona haina maslahi kwake.Herrera kama Sanchez mjanja sana na hii kitu wachezaji wengi hufanya sahv esp waliojijengea majina yaani ukishaona umri wako umeenda yaan kuanzia 30 au karibia hapo na mkataba wako unakaribia kuisha unachofanya ni kudemand mshahara mkubwa iwezekanavyo coz unafahamu huo ndo unaweza kuwa mkataba wako wa mwisho top level, timu uliyopo wakikataa unaondoka bure timu itakayokuchukua lazma either itakupa signing on bonus ya maana au utapewa mkataba mnono kwasababu hawajatumia hela yoyote kukununua!
Ni kweli Woordward alipaswa kuanza hizo process za mkataba mpya mapema sema hata Herrera kwa mtizamo wangu mm hana tofauti yoyote na wapenda hela wengine tu na kuondoka kwake kwangu mm wala hakujanikosesha usingizi wacha asepe! kwa mtu ambae alikuwa anadai anaipenda timu kweli huwezi ondoka kwa sababu za ajabu ajabu kama alivyofanya!
Mkuu tangu umeingia fainali, kuna kausumbufu unatupa sana..haina shidaManchester United haina tofauti yoyote na FC Kunduchi Mchambawima ya Yombo Makangarawe.
Au Makwasu Kwasu Fc ya Kidongo chekunduManchester United haina tofauti yoyote na FC Kunduchi Mchambawima ya Yombo Makangarawe.
Huu ni usumbufu kweli ,Usumbufu wenyewe utakuja tu muda bado mjiandae kisaikolojia mapema hapata kalika humuMkuu tangu umeingia fainali, kuna kausumbufu unatupa sana..haina shida
Maslahi kwanza hata ungekuwa wewe ungeondoka lakini isiwe suala la kulazimisha kwamba kwakuwa anapenda timu ndo akubali hela anayoona haina maslahi kwake.
Hahaaaaa anakwambia hii ni trelaMkuu tangu umeingia fainali, kuna kausumbufu unatupa sana..haina shida
HaaaaaaHizo tuzo mnawapa kwa kazi gani walioifanya mpaka mkaamua kuwapa tuzo .......mmevurugwa nyie
Nimekubaliana nawe.Enrique alichemsha Roma,alifanikiwa Barca sababu alikuwa na Xavi,Iniesta ,Messi,Pique,Suarez,Alba,Neymar,Alves
Poch tangu Southampton then Spurs unaona improvement kubwa na advantage tayari kafundisha EPL miaka zaidi ya 5
ManchesterUnited ni kikundi cha matapeli kilichoshindikana kinachopatikana katika kambi za wakimbizi huko Ngara..........Hiki kikundi hawana chochote kile wanachojua zaidi ya Utaoeli na kupika gongo.
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah huyu ndio mchezaji wa bora timu ambaye akienda timu kama Liverpool ataozea Benchi.Luke Shaw ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa wachezaji wa Man United kwa kumzidi Lindelof kura Moja tuView attachment 1092946
Ndo tunaanza usajili hivi. Na huyo ataingizwa kwenye orodha ya wachezaji walohitajika Man U na kusajiliwa kwa ajili ya kuboresha kikosi kwa msimu ujao.One of low profile names signings? View attachment 1093212
Tusiharakishe sana kuamini hivyo.
Kwani pochetino five years ago angeweza kufikiriwa hata kuwa kocha wa kuleta ushindani EPL ?
ndipo timu ilipofikia kwa sasa hatuna budi muhimu awe na potential hata akina Maguire na Robertson ndo walitokea hukoOne of low profile names signings? View attachment 1093212