Yan hakuna la maana tulilofanikiwa tangu Mou aondoke..timu imeoza sana. Mou tangu msimu unaanza alisema mapema kua man utd haitakua timu ya ushindani ligi itakapoanza hasa kutokana na kukosa alichohitaji wakat wa usajili. Mwishowe wakamtimua kisa unanga wa wachezaji baadhi. Watu wakaaanza kuongea hela zinaenda nying na hakuna matokeo, vision ya Mou ni kuirudsha timu kweny ubora wake na ilishindikana na sasa imeshindikana. Ole ni bahati tu ilim-beba mwanzoni hlf wachezaji wakawa na Hari sana pale mwanzoni..kwa structure ya united ya saiv..hakuna kocha atakayefanikiwa hata aje nani.
Madrid wanajipanga kiusajili kwa msimu ujao lakin hatutashangaaa united kubaki na wachezaji wale wale na ma-rumours kibao ambay hayan maana. Timu imekata tamaa tayr na wachezaj wengn washachoka kuchezea united...
Pogba...jones...rashford..lingard..sanchez..lukaku..bailly..mata....young..kipereira..smalling...de gea..matic..valencia(confirmed)....kifred..kidalot..waondoke wote
Lindelof...ander (pia atafutiwe m-badala wake)..shaw..tominay wabaki