Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Kukubali kitu usichokipenda ni ngumu mno mkuuWatu wengi wameipinga hii tafiti.
Kukubali kitu usichokipenda ni ngumu mno mkuuWatu wengi wameipinga hii tafiti.
Kaka nyinyi na sisi tusahau UCL kwa at least msimu mmoja. Chelsea wataibeba nafasi ya 4. Man utd itawachukuwa misimu miwili kurudi Mourinho alipowapeleka two seasons ago na mnaweza kutafuta kocha mpya katika hiyo miaka miwili. Lingine tusibiri kelele za Liverpool watalibebaNipo sana. Mbona UCL Man United anaenda!! Hilo sina wasiwasi.
Liverpool watatwaa vikombe vya chai vingi sana msimu huu.Kaka nyinyi na sisi tusahau UCL kwa at least msimu mmoja. Chelsea wataibeba nafasi ya 4. Man utd itawachukuwa misimu miwili kurudi Mourinho alipowapeleka two seasons ago na mnaweza kutafuta kocha mpya katika hiyo miaka miwili. Lingine tusibiri kelele za Liverpool watalibeba
Mimi pia nataka nione aliefanya huo utafiti na ninavyojua thamani ya Man U ni zaidi ya dola bilioni 4 ama zaidi ya pound bilioni 3 na hii ipo miaka mingi sana hivyo kuporoka 300m ifike hadi 2b haileti mantiki.City overtake United off the pitch View attachment 1087871
City akisema ajiendeshe bila kuchukua hela mkono WA kulia na kuleta kushoto, anakuwa kama Leicester city tu au BurneyMimi pia nataka nione aliefanya huo utafiti na ninavyojua thamani ya Man U ni zaidi ya dola bilioni 4 ama zaidi ya pound bilioni 3 na hii ipo miaka mingi sana hivyo kuporoka 300m ifike hadi 2b haileti mantiki.
Pia sijasikia man u ikipata hasara kwa miaka mingi sana.
View attachment 1088477
Ukiangalia hio list ya forbes kwa thamani ya Man U unaweza tengeneza hata Man city mbili.
Pia man city anachunguzwa sasa hivi na huo utajiri fake wa kutoa hela mfuko wa kulia na kuziingiza mfuko wa kushoto, huwenda wakapokonywa na kufungiwa Uefa.
Email zimevuja wanachunguzwa, sema Uefa wenyewe hawaaaminiki wanaweza wakapigwa fine mambo yakaisha.City akisema ajiendeshe bila kuchukua hela mkono WA kulia na kuleta kushoto, anakuwa kama Leicester city tu au Burney
Etihad, ina mkono WA mansoor, wadhamin karibu wote WA city nyuma ya pazia ni mansoor mwenyewe, hii tabia hata PSG anaifanya ,IPO siku UEFA wakiwaamulia watazuiliwa kushirik UCL,
Mimi pia nataka nione aliefanya huo utafiti na ninavyojua thamani ya Man U ni zaidi ya dola bilioni 4 ama zaidi ya pound bilioni 3 na hii ipo miaka mingi sana hivyo kuporoka 300m ifike hadi 2b haileti mantiki.
Pia sijasikia man u ikipata hasara kwa miaka mingi sana.
View attachment 1088477
Ukiangalia hio list ya forbes kwa thamani ya Man U unaweza tengeneza hata Man city mbili.
Pia man city anachunguzwa sasa hivi na huo utajiri fake wa kutoa hela mfuko wa kulia na kuziingiza mfuko wa kushoto, huwenda wakapokonywa na kufungiwa Uefa.
university of Liverpool? Hamna research hapo ni majungu tuHuyo hapo.![]()
Man City overtake Man Utd as the most valuable Premier League club
Manchester City overtake Manchester United as the most valuable Premier League club, according to new data from the University of Liverpool.www.bbc.com
Source BBCMimi pia nataka nione aliefanya huo utafiti na ninavyojua thamani ya Man U ni zaidi ya dola bilioni 4 ama zaidi ya pound bilioni 3 na hii ipo miaka mingi sana hivyo kuporoka 300m ifike hadi 2b haileti mantiki.
Pia sijasikia man u ikipata hasara kwa miaka mingi sana.
View attachment 1088477
Ukiangalia hio list ya forbes kwa thamani ya Man U unaweza tengeneza hata Man city mbili.
Pia man city anachunguzwa sasa hivi na huo utajiri fake wa kutoa hela mfuko wa kulia na kuziingiza mfuko wa kushoto, huwenda wakapokonywa na kufungiwa Uefa.
Ukweli unajulikana kuwa MCFC ipo chini kwa MUFC in terms of value.Kukubali kitu usichokipenda ni ngumu mno mkuu
Je performance ya klabu uwanjani inasaidia performance kwenye kuongeza pato la klabu na hatimaye kukuza brand ya klabu husika?Ukweli unajulikana kuwa MCFC ipo chini kwa MUFC in terms of value.
Halafu sasa, as of March 2019, Forbes listed MUFC kuwa number 1 in Value, sasa kipindi cha Mwezi Mmoja tu City itangazwe kuwa the most valuable in EPL?
Ila kwa upande wangu, MANUTD kila ikidrop in Value ndio heri kwa hii club. Ifikie wakati Glazers waone hii klabu haiwaingizii faida kama wapendavyo na kuwabidi waiuze. The club needs owners ambao ni wapenda mpira sio wafanya biashara!
Napenda anachofanya tajiri wa Man city, Amewekeza pesa kwenye kuhakikisha Man city inakuwa one of the greatest football team in Europe, wakati akina Glazers are focusing on making MUFC one the Biggest money making Club, at the same time they dont invest that money in footbal! F**** Glazers!
Ndio inaongeza mapato kwa Klabu. Umaarufu wa Klabu hakuisaidii klabu kupata better deals na kutengeza more money kuliko hio better performing team?Je performance ya klabu uwanjani inasaidia performance kwenye kuongeza pato la klabu na hatimaye kukuza brand ya klabu husika?
Naona hapa kuna question of egg and chicken, which was the firstNdio inaongeza mapato kwa Klabu. Umaarufu wa Klabu hakuisaidii klabu kupata better deals na kutengeza more money kuliko hio better performing team?
Nilimaanisha chanzo ambacho Azam nao wametoa.Mkuu nilikuwa sijui kama Azam sio source
Yai na kuku Nani kaanzaNaona hapa kuna question of egg and chicken, which was the first
Mtazamo wangu, performance nzuri uwanjani ndio inakuza umaarufu wa timu na kipato cha timu. Hivyo hivyo ndivyo performance mbaya inavyoweza kuvuruga umaarufu wa timu na uchumi wake
Kwa maoni yangu, Man Utd haipendwi kwa sababu Mungu aliishusha paaa, na akasema ipendwe na watu na hatimaye watu wakaanza kuipenda...... No performance yake uwanjani ndio iliyofanya tuipende
Tyson alipendwa sababu ya umahiri wake kwenye masumbwi, Jordan alipendwa sababu ya umahiri wake kwenye mchezo wa kikapu, Mr. Nice alipendwa sababu ya uimbaji wake, vipi baada ya kushuka kwenye uimbaji wake? Aliendelea kupendwa?
Man City is sniffing around, they are coming..... And sooner or later if we don't change somethings at our club, they will be on top of us, not just financially but on everything




,...Ume summerize vizuri mkuuYai na kuku Nani kaanza,...
Ila kwenye mpira Ni strait, Bila Mafanikio mazuri/makubwa uwanjani, huwezi kupata Mashabiki wengi, Bila Mashabiki huwezi pata deal nzuri.OVER
Kikosi hicho..View attachment 1088794
unataka acheze nani huko pembeni mkuu?Huyu young wa nini tena
That is your view. In six years now, MUFC imekuwa vururu, kimpira haina plans imo imo tu, yet, the club remained the most valuable club and became the richest in club in the world than Real Madrid despite being 3 times UCL winners, than Man city who played way much better kuliko us. Why is that? The answer is simple; Ed Woodward. Huyu akienda City leo, kesho city inapanda thamani. So far, pamoja na yote, uchumi wa Man Utd kwa miaka sita ya sintofahamu umesimama kidete. Na yote hio ni Umaarufu wa Klabu na Brand yake na has nothing to do with performance.Mtazamo wangu, performance nzuri uwanjani ndio inakuza umaarufu wa timu na kipato cha timu. Hivyo hivyo ndivyo performance mbaya inavyoweza kuvuruga umaarufu wa timu na uchumi wake
Ni kweli timu zinapendwa kutokana na perfomance yake uwanjani, lakini Man utd inapendwa hata ikiwa perfomance yake mbovu. tangu Ole apewe mkataba ameshinda mechi ngapi? Lakini mashabiki wanaendelea kujitokeza uwanjani despite the poor perfomance. Meanwhile, majirani zetu walioko Happy, they dont even fill their 30000 seater stadium! There is a difference between Loyal fans na Plastic fans, Manutd fans are loyal and City fans are not, just glory hunters.Kwa maoni yangu, Man Utd haipendwi kwa sababu Mungu aliishusha paaa, na akasema ipendwe na watu na hatimaye watu wakaanza kuipenda...... No performance yake uwanjani ndio iliyofanya tuipende
Vitu vitabadilika tu katika Klabu. na one way to do this ni kuhakikisha klabu inaanguka kimapato. Hapa tunahitaji msaada wa Medias, kuacha kufocus na MUFC. British Media zina big influence, na sasa they have to shift to City, ili City apate better deals (Za halali sio za kupindisha pindisha). Once MUFC has fallen financially, Glazers wataona wakati umefika wa kuiuza and hopefully it is sold to someone with football passion na sio business passion.Man City is sniffing around, they are coming..... And sooner or later if we don't change somethings at our club, they will be on top of us, not just financially but on everything