Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa mtazamo wa kujipendelea, top four bado tumo. Wapinzani wanapossibility kubwa ya kupigwa mechi zote mbili zilizobaki. Huddersfield na Cardiff hawana sababu ya kutufunga. Cardiff atakatishwa tamaa na ushindi wa Briton Jumapili.

Hivyo tunaweza kumaliza nafasi ya Tatu (second runners up)
"Huddersfield hawana kabisa sababu ya kuwafunga"

Naomba matokeo
 
Screenshot_20190505-175839.png
 
OFFICIA.....OFFICIAL......OFFICIAL
MANCHESTER UNITED tutakuwa nao EUROPA LEAGUE Next season hahahahahahahahah
 
Uwezo tunao, Huddersfield wameshashuka daraja, watacheza kukamilisha ratiba. Cardiff city watakuwa wameshashuka daraja pia kwa ushindi wa Brighton Jumapili ya wiki hii, nao watacheza kukamilisha ratiba.
Hata Cardiff wanaweza wakatufunga Old Trafford
 
Mechi na Cardiff city OGS ajaribu kuingiza timu ya chipukizi tupu. Aachane na Hawa wachezaji wote. Amuache MC Tominay tu na ndiyo awe captain.
Hao nao hakuna kitu. So unamwona Chong alivyo nyoronyoro
 
Man utd have never win last away game since 2011/2012
Inasikitisha
 
Back
Top Bottom