Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumebakoza mechi mbili, tukishinda zote tunafikisha 71 points. Arsenal akipoteza mechi moja ataishia 69. Chelsea akipoteza mechi moja ataishia 71 na Spurs akipoteza mechi zote mbili atabaki na 70. Je, nafasi ya top four kwetu IPO?
 
Hamna
Tumebakoza mechi mbili, tukishinda zote tunafikisha 71 points. Arsenal akipoteza mechi moja ataishia 69. Chelsea akipoteza mechi moja ataishia 71 na Spurs akipoteza mechi zote mbili atabaki na 70. Je, nafasi ya top four kwetu IPO?
 
Tumebakoza mechi mbili, tukishinda zote tunafikisha 71 points. Arsenal akipoteza mechi moja ataishia 69. Chelsea akipoteza mechi moja ataishia 71 na Spurs akipoteza mechi zote mbili atabaki na 70. Je, nafasi ya top four kwetu IPO?
Haipo maans chelsea anatuzidi magoli...
 
Tumebakoza mechi mbili, tukishinda zote tunafikisha 71 points. Arsenal akipoteza mechi moja ataishia 69. Chelsea akipoteza mechi moja ataishia 71 na Spurs akipoteza mechi zote mbili atabaki na 70. Je, nafasi ya top four kwetu IPO?
Hapa top 4 itaamuliwa na Chelsea na Arsenal Manchester United ataenda Europa league
 
Hii timu mchezaji wa kubaki ni Shaw, Herrera, lindelof Na De gea japo De gea kachoma leo
Degea hajaanza kuchoma leo

Na Everton kuna magoli angeweza kuzuia

Na City mechi ya kwanza goli la Aguero angeweza kuzuia

Na City mechi ya juzijuzi goli la Sane angeweza kuzuia

Na Barcelona ........

Na Arsenal ........

Yaani sasa hivi mpira ukipigwa golini, usipo blokiwa najua % kubwa ni goli

Halafu anataka £350,000
 
Tumebakoza mechi mbili, tukishinda zote tunafikisha 71 points. Arsenal akipoteza mechi moja ataishia 69. Chelsea akipoteza mechi moja ataishia 71 na Spurs akipoteza mechi zote mbili atabaki na 70. Je, nafasi ya top four kwetu IPO?
hizi hesabu za kujipendelea. Mpira hauko hivyo
 
sina tatizo na De Gea sina tatizo nae kabisa, yes sina doubts na kipa wetu.

bora Rashford na mauzi yake acheze kwa dakika zote uwanjani kuliko uwepo wa Sanchez sababu Sanchez akiwa uwanjani timu yetu inakuwa na wachezaji 10 tu.

huyu Solskjaer hebu apate wale anaowataka ana approach nzuri sana ila kuna takataka zinaleta blunder zao.

sina tatizo na De Gea
 
ArsenalChelseaMan UtdTottenham
5 May Brighton (H)5 May Watford (H)5 May Huddersfield (A)4 May Bournemouth (A)
12 May Burnley (A)12 May Leicester (A)12 May Cardiff (H)12 May Everton (H)
 
Kwa mtazamo wa kujipendelea, top four bado tumo. Wapinzani wanapossibility kubwa ya kupigwa mechi zote mbili zilizobaki. Huddersfield na Cardiff hawana sababu ya kutufunga. Cardiff atakatishwa tamaa na ushindi wa Briton Jumapili.

Hivyo tunaweza kumaliza nafasi ya Tatu (second runners up)
 
Back
Top Bottom