Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

OGS must be very aggressive and arrogant to players to success at United otherwise he will be sacked early next season

Its time to play Romero and bench De Gea
Give more playing time to the youth for remaining match
Stop mention SAF on his interview(build his legacy)
 
OGS must be very aggressive and arrogant to players to success at United otherwise he will be sacked early next season

Its time to play Romero and bench De Gea
Give more playing time to the youth for remaining match
Stop mention SAF on his interview(build his legacy)
Acha kumlaumu De gea kaibeba sana timu beki mbovu saba ile mbovu mnoo.... ila tatizo kocha naye anataka kuendeleza uingereza wakati wale waingereza (phil & chris) wabovu kama ni kuwachezesha waingereza atafute beki za kingereza za maana ila akiendelea nao msimu ujao nakwambia nafasi ya 4 tutaitafuta kwa torch....
 
Aliyewaongeza mikataba kina Smalling ni OGS
Kawaongeza mkataba yeye atawafanya nini ? Hivi dalot anamapungufu gani mpaka young lazma ndo acheze 2 ? Na pale kati lazma smalling au jones ! Ilibd hao watatu wasipewa mkataba ! Kati hata km atakuja beki mpya wangebaki bailly na lindelof halaf beki angekuja wa kusaidiana na dalot...! Ila kocha cjui tuseme mbaguzi hata kule piga uwa lazma rashford na lingard wacheze ! Yule sanchez kacheza vzuri mechi ya barca ila cku ya everton nkajua ataanza na hata jana ila wapi ! Anakuja kufanya sub muda ushaisha umekula 2 hata timu ingekuwa nzuri kurudi hzo goli shughuli ! Ole co kocha ana mapungufu
 
Naamini Ole anaweza kufanya vema ila apewe hela ya kutosha cyo pauni mil 200/250 asajili akishindwa tumhukumu. Mou ule mpira wake hapana asee
Akipewa hela na asisajili mabeki ? Mana wale wakatili watatu washepewa mkataba
 
Hii tabia ya kuendwkeza utaifa kwenye vilab ndio ilifanya liverpool kupotea kwa muda mrefu.. mpaka walipo punguza idad ya waingereza kwenye team.

Yeye anarudi kosa lilelile lilolompoteza liver kipind cha nyuma. Atafakar sana
Acha kumlaumu De gea kaibeba sana timu beki mbovu saba ile mbovu mnoo.... ila tatizo kocha naye anataka kuendeleza uingereza wakati wale waingereza (phil & chris) wabovu kama ni kuwachezesha waingereza atafute beki za kingereza za maana ila akiendelea nao msimu ujao nakwambia nafasi ya 4 tutaitafuta kwa torch....
 
Hii tabia ya kuendwkeza utaifa kwenye vilab ndio ilifanya liverpool kupotea kwa muda mrefu.. mpaka walipo punguza idad ya waingereza kwenye team.

Yeye anarudi kosa lilelile lilolompoteza liver kipind cha nyuma. Atafakar sana
Jones,young, smalling mikataba mipya kweli!!! Halafu Ander Herrera kama vipi akatafute timu nyingine asee!!
 
The vertical back four. Tactical innovation, Man United style.
Screenshot_2019-04-25-13-17-01.jpeg
 
Duuu mabeki wote wale ukiondoa shaw kidogo na lindelof ingewezekana wafukuzwe kabisa hata kabla ya msimu kuisha
Ishu washapewa mkataba watafukuzwaje ? Labda wakopeshwe na mshahara wao man ndo wawe wanalipa pia ipatikane timu itakayowakubali mana wameoza co kidogo
 
Mkataba unavunjwa tu . Mbona wa mou ullivunjwa
Ishu washapewa mkataba watafukuzwaje ? Labda wakopeshwe na mshahara wao man ndo wawe wanalipa pia ipatikane timu itakayowakubali mana wameoza co kidogo
 
Back
Top Bottom