Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Nyie haya mateso mmevumilia karibia miaka 30 sasaKwa kweli mnajitahidi sana kuvumilia, mateso niliyokutana nayo zile dakika 90, sasa ninyi ni kila week...
Poleni sana.
Nyie haya mateso mmevumilia karibia miaka 30 sasaKwa kweli mnajitahidi sana kuvumilia, mateso niliyokutana nayo zile dakika 90, sasa ninyi ni kila week...
Poleni sana.
Nyie haya mateso mmevumilia karibia miaka 30 sasa
Jana tumeshinda 2-0Haya ya kwenu hayavumiliki, hivi mara ya mwisho mmeshinda mechi lini?
Ukinikalisha basi top four utaingia. Ukizingua ndo basi tena ...Mkuu Mou alipaswa kwenda tu, muda ulifika wa yeye kuondoka, timu ilikuwa haipati matokeo, uhusiano wake na wachezaji ulizorota na hata uchezaji wa timu ulikuwa sio mzuri...... , Ninaamini Jose ni moja ya makocha bora waliopo (japo style yake haivutii sana) lakini kuna jambo lilipaswa kubadilishwa pale United
Kuhusu kumpa mkataba OGS, nadhani kama ni uamuzi wa kumpa mkataba ilibidi tuufanye mwisho wa msimu sio sasa.
Ninaamini OGS ni kocha mzuri, lakini tulikuwa na fursa ya kumpata kocha mzuri zaidi anayeitwa Pochetino
Lakini Ed alichagua cheap option
Lakini OGS anapaswa kupewa muda badala ya kuhukumiwa mapema, apewe hela, asajili, aende pre season kuandaa timu kisha tuone mwenendo wake
Ila Mkuu jumapili nakukalisha
Nina uhakika ilikuwa ni haraka sana ..mngesubiri kidogo mpka msimu lazima timu ingebadilika ...apo mlifanya haraka sana...Acha masihara tulikurupuka kumtimua jose.?
yani hii manure inapigwa nne na Everton ndo itufunge? Hawa wanakula tano kavu ..wakipambana na sana watapata angalau goli moja na short on target mbili..Tukifungwa mechi ijayo dhidi ya Man U usije kupotea, utanikumbusha tukiwa wazima Chifu
yani hii manure inapigwa nne na Everton ndo itufunge? Hawa wanakula tano kavu ..wakipambana na sana watapata angalau goli moja na short on target mbili..
Sasa angalia ile gemu walikuwa vizuri sio sasa ...jumapili ni kipigo ..sisi atutaki kupotezs tena ..wale under dogs wànakufa apo apo OT..Nakukumbusha tu mechi yao ya mwisho dhidi yetu tulikula 2-0 darajani, so usituletee gundu la Aroon kujitapa kabla hatujavuka mto
jose mourinho amenunua walinzi wawili tu wakati kwa misimu mitatu aliyokaa klabuni ambao ni eric bailly na victor lindeloff,Alaf kitu kingine kuwa mourinho alipewa funds mata nyingi kusajili lkn akawa ana sajili wachezaj ambao wanakuja kukaa benchi huku akiwa kawasaini yeye mwenyew then ana demand tena apewe fungu. Mfano huwez nunua center back kila msimu then wakija united wanakaa benchi alaf unatumia wale wale wabovu uliowakuta na pia kupoteza bure pesa za club.
Ndio tumejifunza sasa.Mkuu tumrudishe Mou mapema ..Mou hafungwi Mara mbili na timu ile ile ..
Ila mlikurupuka Sana kumtimua Jose na kumpa mkataba uyu Ole
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Kama waliweza vunja mkataba na Mou, sidhani kama itakuwa shida kuvunja mkataba na Jones.Ole hawachekei anawalia timing ili amalize nao ligi na kama kuna chochote cha kum offer wampe. Ila ligi ikiisha naamini kuna wachezaji wengi atawapiga panga. Kosa kubwa walilofanya ni kuongeza mikataba ya kina smalling,Jones, Young etc. Hiyo inaonyesha kwa upande mwingine ni namna gani timu haina malengo ya kueleweka
Nadhani alikuta mchakato wa kuwaongezea mkataba umeshaanza.Aliyewaongeza mikataba kina Smalling ni OGS
Rashford. Lingard. Smalling. Young. Jones.Hii tabia ya kuendwkeza utaifa kwenye vilab ndio ilifanya liverpool kupotea kwa muda mrefu.. mpaka walipo punguza idad ya waingereza kwenye team.
Yeye anarudi kosa lilelile lilolompoteza liver kipind cha nyuma. Atafakar sana
Wanaweza wekwa sokoni.Ishu washapewa mkataba watafukuzwaje ? Labda wakopeshwe na mshahara wao man ndo wawe wanalipa pia ipatikane timu itakayowakubali mana wameoza co kidogo
mkhitaryan hata huko arsenal kunaelekea kumshinda kiuchezaj, target ya kwanza kwa manchester united alikuwa ni griezmann lakini bahati mbaya athletico madrid walifungiwa kusajili hivyo basi ikawa vigumu kwa griezman kuondoka, man utd wakatuma ofa kwa alvaro morata lakini mazungumzo kati ya madrid na wawakilishi wa manchester united yakawa ovyo.Alifanya hivyo kwa Erick Bailly akaanza fresh akaishia benchi akaenda kwa Lindelof mpk anaondoka alikuwa ameshindwa kumtumia na alikua akitaka beki mwingine,kamnunua Mikhitaryan kashindwa kumtumia zaidi kamuua kabisa,katuletea galasa Lukaku kwa mihela kibao mwishowe hovyo, then kaenda kutuharibia timu kwa kutuletea mfanyakazi hewa ambaye kaja kutuharibia timu kwa kulipwa pesa kibao alaf soka hakuna, akatoka pia akaenda kununua promising player na sio complete Diogo Dalot kwa £19m akiwa kacheza michezo nane tu pale Porto, club ikampa hela then akaenda kusajili golikipa mzee namba 3 Lee Grant wkt tunao watoto mafundi akina Joel Pereira, Dean Henderson.