Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mpira anaocheza young utaacha kumchana kuwa unazngua!!! Lkn ss mchezaji hatak kuambiwa kuwa huu mpira uliocheza sio. Huyo lingard ukiniwekea na deolafeu wa watford mm namchukua deolafeu. Lingard co mchezaji
 
Man united ni timu yenye profile kubwa sn duniani ht kocha anaetakiwa kuinoa ni lazima awe na profile kubwa pia. Profile la mou ni kubwa na ndo mana ninaamini km mou angecklzwa na ed wood man united ingetisha. Ole gunnar anajua tu utamaduni wa united lkn profile lake ni dogo sn kuifundsha timu kubwa km united. Timu yenye makombe 20 ya ligi kuu england ifundshwe na kocha ambae hajawah kutwaa ubingwa wa ligi zile kubwa pale ulaya huo ni uongo
 
These are the same players who threw Mou under the bus, they will do exactly the same to Ole. It's just a matter of time.

Ole ataanza kuhukumiwa kuanzia mwisho wa msimu. Mwache aendelee kuwachekea wachezaji.
Ole hawachekei anawalia timing ili amalize nao ligi na kama kuna chochote cha kum offer wampe. Ila ligi ikiisha naamini kuna wachezaji wengi atawapiga panga. Kosa kubwa walilofanya ni kuongeza mikataba ya kina smalling,Jones, Young etc. Hiyo inaonyesha kwa upande mwingine ni namna gani timu haina malengo ya kueleweka
 
Hawa wachezaji wasipotolewa.. circle ile ile itaendelea. Kibur wanacheza vixur siku wakitaka. Tabia hii imeanzishwa na pogba
Niliwahi sema kuhusu hilo enzi hizo ila kuna mdau alinicharukia utadhani yeye ni agent wa Pogba
 
Mkuu tumrudishe Mou mapema ..Mou hafungwi Mara mbili na timu ile ile ..

Ila mlikurupuka Sana kumtimua Jose na kumpa mkataba uyu Ole

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Mkuu Mou alipaswa kwenda tu, muda ulifika wa yeye kuondoka, timu ilikuwa haipati matokeo, uhusiano wake na wachezaji ulizorota na hata uchezaji wa timu ulikuwa sio mzuri...... , Ninaamini Jose ni moja ya makocha bora waliopo (japo style yake haivutii sana) lakini kuna jambo lilipaswa kubadilishwa pale United

Kuhusu kumpa mkataba OGS, nadhani kama ni uamuzi wa kumpa mkataba ilibidi tuufanye mwisho wa msimu sio sasa.

Ninaamini OGS ni kocha mzuri, lakini tulikuwa na fursa ya kumpata kocha mzuri zaidi anayeitwa Pochetino

Lakini Ed alichagua cheap option

Lakini OGS anapaswa kupewa muda badala ya kuhukumiwa mapema, apewe hela, asajili, aende pre season kuandaa timu kisha tuone mwenendo wake

Ila Mkuu jumapili nakukalisha
 
Mpaka sasa nadhani tutakubaliana kuwa,

Man Utd wana tatizo kubwa kuliko, tatizo la kocha

Jose was right through and through
Jose alikuwa hovyo kabisa katika uchezaji na sijutii yeye kuondoka ila alikuwa sahihi kwa asilimia mia moja katika Yale alokuwa anaongea
 
Man united ni timu yenye profile kubwa sn duniani ht kocha anaetakiwa kuinoa ni lazima awe na profile kubwa pia. Profile la mou ni kubwa na ndo mana ninaamini km mou angecklzwa na ed wood man united ingetisha. Ole gunnar anajua tu utamaduni wa united lkn profile lake ni dogo sn kuifundsha timu kubwa km united. Timu yenye makombe 20 ya ligi kuu england ifundshwe na kocha ambae hajawah kutwaa ubingwa wa ligi zile kubwa pale ulaya huo ni uongo
Naamini Ole anaweza kufanya vema ila apewe hela ya kutosha cyo pauni mil 200/250 asajili akishindwa tumhukumu. Mou ule mpira wake hapana asee
 
Jose alikuwa hovyo kabisa katika uchezaji na sijutii yeye kuondoka ila alikuwa sahihi kwa asilimia mia moja katika Yale alokuwa anaongea
Pale Man U walijifanya kujikakamua tu alipoondoka Special One ili kumsahihisha kuwa si kocha bora lkn muda ni jibu tosha kuwa Mourinho alikuwa sahihi kabisa kwa yote aliyokuwa anayongea kuhusu udhaifu wa kikosi cha Man U.

Kibaya zaidi ni pale alipokuja kuzinguana na Paul Pogba na Anthony Martial ndiyo kabisa kakaanza kamgomo ka chini chini ka wachezaji hadi alipotimuliwa Jose Mourinho.
 
Mourinho ni bingwa wa tactics linapokuja swala la timu yoyote aifundishayo kutaka kupata matokeo lkn siyo ball position uwanjani.

Ss hv anaonekana alikuwa sahihi kukilalamikia kikosi cha Man U kuliko kabla hakufukuzwa.
ED angekuwa si mbaili angemuwezesha Mou pesa za usajili kwa alichokuwa anakihitaji kuhusu usajili upya.
Pogba huenda kuwa ana kipaji lakin attitude is 0.
Mou was right. Pogba is the virus
 
Naamini Ole anaweza kufanya vema ila apewe hela ya kutosha cyo pauni mil 200/250 asajili akishindwa tumhukumu. Mou ule mpira wake hapana asee
Tatizo siyo pesa kutolewa tatizo ED atakuwa tayari kutoa mzigo wa kutosha ili msafishe kikosi chote kama walivyofanya Man City wakiwa na Pep kwa kusajili wachezaji 11 japo Pep aliikuta Man City ilishatinga nusu fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE?

Pep alimaliza na Man City Ikiwa nafasi ya 3 lkn alitimua kipa aliyemsajili kwa kitokuwa Mzuri na kusajili tena kipa mwingine kwa usajili wa wachezaji wengine tena 9 ndipo alichukua kombe la epl.

Haikusitisha mpango wa Matajiri wa Man City kusajili tena wachezaji wapya wa4 baada ya kubeba epl chini ya Pep.

Mpira wa leo ni pesa, so ED ajitathmini kwakweli maana anaonekana yuko kimaslahi zaidi kuliko kutafuta mazuri ndani ya klabu ya Man U.
 
Ole hawachekei anawalia timing ili amalize nao ligi na kama kuna chochote cha kum offer wampe. Ila ligi ikiisha naamini kuna wachezaji wengi atawapiga panga. Kosa kubwa walilofanya ni kuongeza mikataba ya kina smalling,Jones, Young etc. Hiyo inaonyesha kwa upande mwingine ni namna gani timu haina malengo ya kueleweka
Aliyewaongeza mikataba kina Smalling ni OGS
 
Inamaana hapo bado OGS hajakomaa ktk kuangalia mbele zaidi na kimaamuzi lkn kiufundishaji atakuwa vzr tu ED ampatie mzigo wa maana ili asafishe kikosi chote cha Man U.

Lingard, Pogba, Matic, Jones, Young, Lukaku, Smalling, Sanchez wote ni uozo tu kwa timu kubwa sana duniani kama Man U.
 
Back
Top Bottom