Wamesaini na Puma, na wameachana na Nike...... Angalia hiyo attachment
Ni kweli City wana struggle hata kujaza uwanja wao ambao una uwezo wa kubeba mashabiki elfu thelathini na kitu (mashabiki wa United wanawatania kwa kuwaita Emptyhad badala ya Ethad) , lakini ni ukweli usiopingika miaka 5 au 10 iliyopita tulikuwa tukienda vibanda umiza au hata mtaani huwezi kukuta mtu amevaa jezi ya City lakini kwa sasa wapo, hivyo kwa sasa wanapata mashabiki na hiyo inasababishwa na performance uwanjani
Kwanza hivi unaweza vipi kutenganisha performance ya timu uwanjani na kuvutia mashabiki mashabiki? Real Madrid wana mashabiki wengi sababu ya mafanikio yao, Barca hivyo hivyo, Man Utd hivyo
Ipswich town, hull city, Levante, torrino, hawana fan base kubwa sababu hawana mafanikio uwanjani
View attachment 1078465