Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nachojua mpaka sasa mechi ya jumatano tushaimaliza na kipigo kidogo tutakachopokea ni cha sita bila majibu.....kamwe siwezi ruhusu liva anisogeee ile rekodi yangu ya kutwaa ubingwa mara 20
 
Ujinga ni nini?

Ujinga ni pale Man u wanapoamua kumuachia City 3 points kwa makusudi ilimradi tu Liverpool isichukue ubingwa, mwisho wa siku Man City anakuja kudraw na leicester, Liverpool anatwaa ubingwa huku Man U akirudi Europa.
Usicheze mpira Kwa vidole kila mtu ashinde mechi zake tu
 
Which City deal is biggest?

Man city haina ata fans wa kufill there own home seats mpaka wanunue watu kwa kuwalipia ticket. Juzi tu apo walicheza mechi uwanja ulikuwa mtupu mpaka dunia inashangaa. Manutd pamoja na uchwara wake mashabiki uwanjani nyomi na ndicho wanachotaka advertisers. They dont care if you are winning titles, they want exposure and man city cant offer that.
Wamesaini na Puma, na wameachana na Nike...... Angalia hiyo attachment

Ni kweli City wana struggle hata kujaza uwanja wao ambao una uwezo wa kubeba mashabiki elfu thelathini na kitu (mashabiki wa United wanawatania kwa kuwaita Emptyhad badala ya Ethad) , lakini ni ukweli usiopingika miaka 5 au 10 iliyopita tulikuwa tukienda vibanda umiza au hata mtaani huwezi kukuta mtu amevaa jezi ya City lakini kwa sasa wapo, hivyo kwa sasa wanapata mashabiki na hiyo inasababishwa na performance uwanjani

Kwanza hivi unaweza vipi kutenganisha performance ya timu uwanjani na kuvutia mashabiki mashabiki? Real Madrid wana mashabiki wengi sababu ya mafanikio yao, Barca hivyo hivyo, Man Utd hivyo

Ipswich town, hull city, Levante, torrino, hawana fan base kubwa sababu hawana mafanikio uwanjani
Screenshot_2019-04-22-20-05-17.jpeg
 
Ni sawa na MO aache biashara sasa, ndani ya miaka kadhaa ya mbeleni matajiri wanaochipukia hawawezi kumkuta sababu ya alichoki accumulate, ataendelea kuwa juu

Na United brand yake imejengwa kwa miaka mingi sana, kwa hiyo miaka 6 au 10 haiwezi kuiharibu lakini ngoja tukae miaka 30 bila premier kama ndugu zetu wa Merseyside uone kama tutaendelea kuwa juu kiuchumi

Uchumi wa timu pia unakuwa kutokana na ukubwa wa fan base, kwa sasa United ndio club yenye fan base kuliko club (football club) yoyote ulimwenguni

Matokeo yakiwa mabaya kwa miaka mingi, idadi ya mashabiki itapungua, na timu haitaweza kuvutia mashabiki wapya, idadi ya sponsors nayo itapungua na watapunguza mpunga wa sponsorship na hatimaye tutapotea kwenye nguvu ya kiuchumi

Nasisitiza IN THE LONG TERM RUN,( sio kwa muda mfupi kama miaka 6, 7 au10) tukifanya vibaya uwanjani tutayumba kiuchumi

Hii ni kweli pia kwa timu zinazofanya vizuri uwanjani, wakifanya vizuri kwa muda mrefu na uwezo wao kiuchumi unakua
Mkuu hichi kitu imeshajaribu kuelewesha Sana watu humu ndani..... "Mapato ya timu yanategemea matoke ya mpira uwanjani" ili upate Mashabiki wengi zaidi, ili uweze kuingia dili nzuri za mikataba....... Dili la Adidas sidhani pale Utd Kama watakubali ku renew kwa terms hizi hizi Kama timu itaendelea kuwa na sintofahamu ya matokeo namna hii, Over
 
Nachojua mpaka sasa mechi ya jumatano tushaimaliza na kipigo kidogo tutakachopokea ni cha sita bila majibu.....kamwe siwezi ruhusu liva anisogeee ile rekodi yangu ya kutwaa ubingwa mara 20

Hata City, Totenham, Chelsea na Arsenal wanaweza kuikaribia rekodi yako haraka sana
 
Kwa hilo I beg to differ!
Pogba akipata the right players around him anang’ara
Nilimwona World Cup alivyokimbiza
Kwa mantiki hii kwani huwa hamsemi Lukaku akipata the right player around him atafanya vizuri

Pogba ni tatizo kubwa pale United, kwa kiwango yupo 60%/70% ability wise lakini tatizo lake kubwa ni mercenary, he don't play for badge
 
OGS - Relegate Cardiff then akakimbilia kwao.

Mike Phelan - Relegate Hull city, then akawa sporting director huko Australia bado akashuka nayo tena daraja.

Alafu baadae wamekuja ku manage the biggest club in the world. Njoo mniambie kama kweli uchawi haupo duniani.
 
Mkuu hichi kitu imeshajaribu kuelewesha Sana watu humu ndani..... "Mapato ya timu yanategemea matoke ya mpira uwanjani" ili upate Mashabiki wengi zaidi, ili uweze kuingia dili nzuri za mikataba....... Dili la Adidas sidhani pale Utd Kama watakubali ku renew kwa terms hizi hizi Kama timu itaendelea kuwa na sintofahamu ya matokeo namna hii, Over
Mkuu huu ndio ukweli wenyewe
 
Kwa mantiki hii kwani huwa hamsemi Lukaku akipata the right player around him atafanya vizuri

Pogba ni tatizo kubwa pale United, kwa kiwango yupo 60%/70% ability wise lakini tatizo lake kubwa ni mercenary, he don't play for badge

Lukaku is a fat ass footballer. He probably could be a better running back in NFL
 
Lukaku is a fat ass footballer. He probably could be a better running back in NFL
Lukak ameshakuwa heavy. Akiwa mwembamba anakuwa mzuri sana. Angalia akiwa everton.
Uzito umemuaharibu.
Pogba needs to go.. he has no loyalty.na hii tabia fergie aliiona mapema
 
OGS - Relegate Cardiff then akakimbilia kwao.

Mike Phelan - Relegate Hull city, then akawa sporting director huko Australia bado akashuka nayo tena daraja.

Alafu baadae wamekuja ku manage the biggest club in the world. Njoo mniambie kama kweli uchawi haupo duniani.
Kwa ogs maybe.. lakin mike phelan hapana. Why? Mike likuwa assistant wa ferguson kabla hajastaaf. So anaijua team vizur.
Ogs anahitaj muda.. na wachezaj wapya.
 
Ujinga ni nini?

Ujinga ni pale Man u wanapoamua kumuachia City 3 points kwa makusudi ilimradi tu Liverpool isichukue ubingwa, mwisho wa siku Man City anakuja kudraw na leicester, Liverpool anatwaa ubingwa huku Man U akirudi Europa.
Hahahah, kweli aisee
 
Ningekua manager, basi hiki ndio kingekua kikosi changu siku ya jumatano

Grant
Injured valencia- Rojo - Darmian - Young
McTominay
Lingard - Pereira
Gomes - Lukaku - Chong
 
Ningekua manager, basi hiki ndio kingekua kikosi changu siku ya jumatano

Grant
Injured valencia- Rojo - Darmian - Young
McTominay
Lingard - Pereira
Gomes - Lukaku - Chong
Wote vilaza tu hao
 
Back
Top Bottom