Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

56588529_2799368600080230_6357178375542407168_n.jpg
 
'The manchester united way' inawatesa sana. Solskljaer inatakiwa aje na identity yake sio kulazimisha identity ya Sir. FERGIE. Ingawa Mourinho na falsafa yake ilibugi lakini angalau alijaribu kuja na staili nyingine. Kitakachomfukuzisha kazi Solskjaer ni kutaka kuchezesha Manu kama ile ya Fergie, mambo yamebadilika.
Mchawi wa man u ni furgeson na edwoord
 
Wakati timu inashinda sifa tulimpa yeye now inafungwa lawama sio zake
Sidhani kama tatizo ni ogs. Tatizo ni wachezaji.
Hili ndio muo alilipigia kelele toka mwanzoni. Lakin hawakusikia. Wale wachezaji ni so average. Man u class players.. ni pogba na digea ..wengine hovyo.

Hata aje kocha kutoka mbinguni. Wka wachezaji hawa. Timu itafungwa tu
 
Ole nae tatizo toka aje young,jones na smalling wa saini mkataba ! Yeye ndo anachagua timu mpaka sasa hajui wachezaji wake wakikosi cha kwanza na hana kikosi ana bahatisha ! Kama lindelof cku ya barca alichemka kucheza kulia leo kamuweka tena nafasi ileile ! Rashford,martial na lingard hawakucheza vzuri mechi ya westham ila kawarudia tena mechi ya barca na leo tena ! Sanchez alocheza vzuri kutokea sub mechi ya barca leo ilibdi aanze pia kamueka nje ! Sahv anasema kuna wachezaji wataondoka cjui nini wakata wachezaji walochoka ndo kaanza kuwapa mkataba ! Hana jipya
 
√Sasa kwa alivyocheza Young gemu ya Barcelona anaanzaje kucheza leo??

√Martial ni hovyo pia ila ukimpanga Mata mbele ya Martial hayo yatakuwa masihara..maana Mata ameshachoka..yaani ni sawa kusema Amber rutty ni mrembo kumshinda Amber Lulu
Umekoment vizuri lakin umekosea KULETA mfananisho wa SLAY QUEENS kwa chama KUBWA KAMA MANCHESTER UTD......usifananishe Usawa wa ManUtd na Mi-tg
 
ningefurahi zaidi timu ingemaliza nafasi ya nane ili isishiriki kabisa mashindano yeyote ya ulaya ili tuanze na fresh page

fatigue, team selection, subs, willingness, poor marking na ubora wa Everton ndo sababu ya kupoteza leo nilivyoona mimi
 
Tatizo kuu ni kocha, Ole hakuleta kitu kipya zaidi ya kutembelea kivuli cha Furgie
Van Gal kama mwezi uliopita alisema Ole hakubadilisha kitu, mfumo ni ule ule wa Mou wa kupaki mabasi na kuvizia ku counter attack. Wins zote walizopata under Ole ni kwa njia hiyo. Sasa wameshtukiwa na hio mbinu don't work any more
Tofauti yake na Mourinho ni kuwa Mourinho ni mzuri sana kwenye sub, ana uwezo wa kujua tatizo katkat ya safar na kuweka mtu sahihi wa kurekebisha ..... Mou ni bingwa wa mikakati ya ushindi (master of tactics) Tatizo la mou sio innovator kama Guardiola, ndo mana huonekana kama mbahatishaji na muoteaji...sasa huyu Ole ni gogo tuu, yeye mwenyewe hajui afanye nin kama mambo yakienda kombo, kazi yake ni kufungulia wachezaji wakacheze, hana uwezo wa kufight to the last...hana uzoefu kabisa, in short Ole sio kocha, ana lack strategy kitu muhimu sana kwa kocha yyte
 
Nilitoa kama mfano mdogo tu kwamba hao maslay queen uchwara wote wabovu lakini amberlulu ana uafadhali
Umekoment vizuri lakin umekosea KULETA mfananisho wa SLAY QUEENS kwa chama KUBWA KAMA MANCHESTER UTD......usifananishe Usawa wa ManUtd na Mi-tg
 
Tofauti yake na Mourinho ni kuwa Mourinho ni mzuri sana kwenye sub, ana uwezo wa kujua tatizo katkat ya safar na kuweka mtu sahihi wa kurekebisha ..... Mou ni bingwa wa mikakati ya ushindi (master of tactics) Tatizo la mou sio innovator kama Guardiola, ndo mana huonekana kama mbahatishaji na muoteaji...sasa huyu Ole ni gogo tuu, yeye mwenyewe hajui afanye nin kama mambo yakienda kombo, kazi yake ni kufungulia wachezaji wakacheze, hana uwezo wa kufight to the last...hana uzoefu kabisa, in short Ole sio kocha, ana lack strategy kitu muhimu sana kwa kocha yyte
MO pamoja na kuwa na mbinu lakini alifeli na timu hii kwahiyo tusitegemee chochote kwa huyu asiyekuwa na mbinu.

ova
 
Back
Top Bottom