Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
City itabaki juu itabaki kileleniHivi tunavyojifanya tumeumia kwa kufungwa leo naomba nguvu zetu za kinyonge tusije tukazimalizia kwa man city!!
Manchester city must win ifikapo jumatano
City itabaki juu itabaki kileleniHivi tunavyojifanya tumeumia kwa kufungwa leo naomba nguvu zetu za kinyonge tusije tukazimalizia kwa man city!!
Manchester city must win ifikapo jumatano
Ahahahahaha Mama weee mbavu zangu, ukoko wa pilau na Ukoko wa biliani Upi unauafadhali !???? Ahahahaha nimecheka kwanguvu alafu kiboya mpaka mtu mzima nlokuwa karibu naye akasema Masmartfon hayo yanawapa uchizi!!!!!Nilitoa kama mfano mdogo tu kwamba hao maslay queen uchwara wote wabovu lakini amberlulu ana uafadhali
Huyu Ed kama anaangalia zaidi mauzo ya jezi si akasajili kina Lil Wayne huko!?D. Gill alikuwa anaangalia talent zaidi uwanjani kuliko mauzo ya jezi.
Kweli kabisa hii ndio furaha yetu pekee kwa msimu huu.Hivi tunavyojifanya tumeumia kwa kufungwa leo naomba nguvu zetu za kinyonge tusije tukazimalizia kwa man city!!
Manchester city must win ifikapo jumatano
Mimi kesho kama kawa Hazard atanipigia mbilo safi na ukiongeza na Higuain apo lembe ..supa sub Geroud wanakufa nne wale watoto..Hamna tuimbe machungu tele moyoni
Ila mkuu kesho una mechi ujue ,weka ka akiba ka manenooo
Dah apa walimvunjia heshima sana Mourihno. Inapaswa bodies nzima ya timu kumuomba msamaha..Imagine thinking Solskjaer’s a better manager than Jose Mario dos Santos Mourinho Felix
View attachment 1077776
Yani ni vilio tu uku na kule ..hatujui tuanzie wapi kulia..hahaMnatuvuruga sasa mbona misiba mingi ngoja tuanzie kule kwa mkuu Aaron kwanza
Mkuu naona umefika kutoa rambi rambi zakoKupitia Ole sendeka nimejifunua tofauti ya mahusiano na ndoa. Ngoja niwe mpole nisje kujutia mbeleni.
Mkuu naona umefika kutoa rambi rambi zako
Kweli kabisa mkuu. Nami nimejifunza tofauti ya dem na mke. Dem anakuwa na mahaba motomoto lkn ukishamvuta ndani (ndoa) ndo unaona mapungufu yake.Kupitia Ole sendeka nimejifunza tofauti ya mahusiano na ndoa. Ngoja niwe mpole nisje kujutia mbeleni.
Yani ni vilio tu uku na kule ..hatujui tuanzie wapi kulia..haha
Kweli kabisa mkuu. Nami nimejifunza tofauti ya dem na mke. Dem anakuwa na mahaba motomoto lkn ukishamvuta ndani (ndoa) ndo unaona mapungufu yake.