kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,350
Ha ha ha ha We jamaa Martial angekuwa bongo ningesema mmechukuliana wanawake. N way dogo hata mie Mara nyingi ananikera,anashindwa kujituma ili kipaji chake kiwe halisi. Angalia mechi kaka tutashinda na anaweza akawa chachu leoDalot! Martial! Hawa ndio wachezaji watakaomng'oa OGS Old Traford. Yaanni Martial anamuweka nje Mata! Sijisumbui kuangalia hii mechi. Ngoja nipeleke watoto beach. Pumbaf.