Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Ole akizembea kwenye usajili msimu ujao ataenda na maji.
Wachezaji wa kuwafukuza ni zaidi ya 10. Alete majembe ya kazi.
Mpaka sasa tulitakiwa tuwe na Sports Director ambaye ameshaanza usajili.
Beki ya sasa ni sifuri, tukiendelea nao msimu ujao hakuna kitu.
Morinho alitaka hela asajili majembe, Ed akamkatalia. Asipompa Ole hela ya kununua wachezaji, he should leave.
Ed should be sacked.
Wachezaji wa kuwafukuza ni zaidi ya 10. Alete majembe ya kazi.
Mpaka sasa tulitakiwa tuwe na Sports Director ambaye ameshaanza usajili.
Beki ya sasa ni sifuri, tukiendelea nao msimu ujao hakuna kitu.
Morinho alitaka hela asajili majembe, Ed akamkatalia. Asipompa Ole hela ya kununua wachezaji, he should leave.
Ed should be sacked.
