Hii ni kwa sababu enzi za timu kutoka Laliga Santander kutamba Zimekwisha, Ukiangalia kwa umakini ubutu wa safu ya ulinzi ya Barca na ukali wa washambuliaji wa Man U wakiongozwa na Marcus utagundua kwamba Barcelona haitoki nje ndani.

Ni suala la kusubiri tu .
Nakuunga mkono! Naiona Man U ikiwapiga kina Mess pale OT. Tukutane Alhamisi kwa mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chaguo la kipa ni Oblak wa Atletico tu...hata mil.100 tutoe jamaa yuko vizuri
Pogba ni yuda.
De gea nae ni yuda.
Ila chanzo chaatatizo yote haya ni Alex sanchez..analipwa pesa nyingi lkn hafanyi kitu uwanjani thats y wachezaji wengine wanaona bora wadai pesa mingi kuliko honor ya club.
Sent using Jamii Forums mobile app
Herrera pia
 
Hiyo list ya kikosi cha kuuza aliyoitaja utaitaji madirisha mawili ya kusajili kufill hizo gapes

Na haitawezekana kupata wachezaji wote hao aliowataja hapa kwa fedha alizozitaja.

Hivi sasa ni ghari sana kupata mchezaji hasa unapokuwa desperate in need of replacement
miaka miwili iliopita everton wamemnunua pickford kutoka sunderland kwa paundi millioni 30, baada ya miaka miwili unadhani everton watamuuza kwa paundi millioni 40?

allison na kepa arrizabilaga ndio magolikipa walionunuliwa kwa hela nyingi kwa sasa hivyo basi ni lazima everton watahitaji mara mbili ya fedha walizotumia kumsajili.

ndio maana nilishauri humu ndani ni bora arudishwe dean henderson kuliko kulipa hela nyingi kwa kipa aina ya pickford.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeanza kufuatilia mpira zaidi ya miaka 20 ss... UEFA sio La liga wala EPL... Always timu ambazo haziko vizuri saana ndio hupata matokeo..
KUMBUKA MAN U YA 2008/09 ILIKUWA BORA MBELE YA BARCA LAKINI ILIFUNGWA KWENYE FAINALI..
GAME HII NAONA WAZI BARCA AKIPOTEZA KWA GOLI 2-0
Kwann nasema hivyo.. Uchezaji wa Barca ni rahisi kudhibitika hasa na Man u ukizingatia aina ya viungo wa Utd...
Ebu fikiria man U wakianza na HERERA, POGBA NA MATA... RASHFORD NA MARTIAL KULE MBELE.. unaona jinsi gani barca watalazimishwa kushuka na kutotembea kasi mbele.. hii itawafanya wafungwe..
KWANGU MM BARCA SAFARI YAKE IMEISHIA HAPO..
Aisee ukiamka usingizini kumbuka kupiga mswaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naona tunafanana kwenye kutotaka Liverpool washinde

Lakini umewahi kuwaza city ana possibility ya kushinda makombe 4, na akifanya hivyo atavunja rekodi yetu ya treble msimu wa1998/1999

Nilikuwa ninawategemea Wolves (kiboko ya vigogo) acheze fainali na City FA ili amkazie City ila naye ameshatolewa

Tegemeo lililobaki ni apigwe UEFA
Gurdiola will need a life time ban from football if he will alow those bastard from Liverpool to win the league.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vile mashabiki wa Man U wanaitamani Top Four

joanah
GBWA-20190409210318.jpeg
 
Mkuu naona tunafanana kwenye kutotaka Liverpool washinde

Lakini umewahi kuwaza city ana possibility ya kushinda makombe 4, na akifanya hivyo atavunja rekodi yetu ya treble msimu wa1998/1999

Nilikuwa ninawategemea Wolves (kiboko ya vigogo) acheze fainali na City FA ili amkazie City ila naye ameshatolewa

Tegemeo lililobaki ni apigwe UEFA

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahy mkuu wewe kitakuumiza kwa city kubeba yote? Naona hoja yako unataka liverpool awe bingwa epl
 
Mkuu naona tunafanana kwenye kutotaka Liverpool washinde

Lakini umewahi kuwaza city ana possibility ya kushinda makombe 4, na akifanya hivyo atavunja rekodi yetu ya treble msimu wa1998/1999

Nilikuwa ninawategemea Wolves (kiboko ya vigogo) acheze fainali na City FA ili amkazie City ila naye ameshatolewa

Tegemeo lililobaki ni apigwe UEFA

Sent using Jamii Forums mobile app
kushinda quadruple sio kazi rahisi aise.

Kwenye kuchagua kati ya City quadruple na liverpool epl title, hili swali ni gumu kwa United fan. Kwa upande wangu ni bora wote wakose.


Sent using simu mbovu
 
Back
Top Bottom