Multrilionare
Member
- Jul 29, 2018
- 56
- 82
Super Sub toka Loliondo bwana Ole Mushi Sendeka SoksiMkuu timu iñafundishwa na mpindua meza maarufu katika UEFA
Aliyekwambia naacha kutafuta hela nan, tatizo lako unadhan kila mtu anapitia njia zako wwUnaifanya man u izd kuwa timu maarufu duniani ww siunaona mwenyewe unaacha ad kutafuta mkate wakila siku unakazana na keyboard kila mala manchester
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole anamkosea sana lukaku kwa kuwa anamtia bench huku kirashford kinarukaruka tu kule ndani. Jana nimeumia sana kumwona lukaku anaenda nje huku rashford kimo ndani kinatoa tu macho!! Ole kama ataendeleza haya mapenzi ya kijinga simwoni akifika popote na hii team!!
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅jumanne sio mbali,ole atapibdua hadi makabati naonaMkuu timu iñafundishwa na mpindua meza maarufu katika UEFA
Ni ngumu kusajiri players wote hao misimu mmojaHuyu Mc Tominay siyo wa mchezo ni kama ka fletcher vile katulia anakaba kwa ufundi tena ndani ya box bila kusababisha faulo kwa dakika 90 good boy.
Maoni yangu hakuna haja ya kupoteza hela kutafuta DM tena tuzibe pengo la Mata, na hererra kwa kumleta Ruben Neves na christian Eriksen,
Huyo Wan Bisaka aje ajaze nafasi ya Young asiyejua hata kupiga cross,
Tukamchukue Skinniar kuziba nafasi ya Bailly na tutafute wings mbili za maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata bila majeruhi, kikosi cha leo ndicho sahihi sema tu Rash. Ningekuwa Ole ningembadilisha Perreira acheze foward
Sent using Jamii Forums mobile app
Karma is a bitch, laana ya Jose Mourinho ishaanza kumtafuna sharobaro Paul Pogba.Uhusiano kati ya Paul Pogba na meneja wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer umeanza kuzorota, kiungo huyo wa miaka 26 huenda akahamia Real Madrid. (Le Parisien via AS)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwangu mtu akivuka mipaka, amevuka mipakaBaadhi ya comment humu zinadhihirisha ni namna gani watu bado fahamu za fikra zao zilivyofunga mfano swala la wazazi (Baba,mama) mtu analichukuliaje ni dogo kiasi hicho mpk kuanza kumtusi mzazi wa mtu Aise ????
Kuiondoa CCM itatuchukua karne kwa hali hii aise
13SEPTEMBER
By the way pole Mkuu, wanga bado wanaingia geto kwako kuwasha taa ukiwa umelala?Baadhi ya comment humu zinadhihirisha ni namna gani watu bado fahamu za fikra zao zilivyofunga mfano swala la wazazi (Baba,mama) mtu analichukuliaje ni dogo kiasi hicho mpk kuanza kumtusi mzazi wa mtu Aise ????
Kuiondoa CCM itatuchukua karne kwa hali hii aise
13SEPTEMBER
Mkuu yule mtu anakujaga marachache sana na tangu nichome kaya hajasogea tenaBy the way pole Mkuu, wanga bado wanaingia geto kwako kuwasha taa ukiwa umelala?
Sent using Jamii Forums mobile app