Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ondoa hilo li-signature lako, kwanza refu, halivutii. Na linachanganya. Mtu anashindwa kujua comment yako imeishia wapi.
Kuna mtu kakushauri hapo juu sijui hujamwelewa!!!
Wewe mama usiku huu unahangaika jf mumeo aki m t o m b a housegirl uje uanzishe Uzi humu kulalamika
 
atakapoondoka marcos rojo hii namba 16 ni bora apewe scott mctominay, sielewi kwa nini tunataka kuingia kwenye mtego wa media za kiingereza za kutaka kumsajili declan rice.
hivi rakitic pamoja na arthur melo walikuwepo uwanjani?​
kama yupo mdau anayeamini siku moja rashford atakuwa mchezaji bora basi aendelee kuwa na imani hiyo mpaka kufa kwake.
man utd 0 barcelona 1
View attachment 1068168
Mkuu leo timu imecheza vizuri sana,pogba hakuwa na utoto.
Fred utadhani sio yule tunayemjua, amefanya kazi nzuri sana huyu jamaa.

Young sijui anapangwa wa nini huyu babu. Mipira yake haifiki lazima agonge mtu.
 
Leo kuanzia kocha mpaka wachezaji walipanic.
Kocha alishindwa kupanga kikosi cha kazi na bado ankfanya sub za hovyo.
Wachezaji ndio ilikuwa full kupoteana pale kati, yani hawaonani, pasi hazifiki.

Kufupi tulistahili kupigwa hata saba.
 
Leo kuanzia kocha mpaka wachezaji walipanic.
Kocha alishindwa kupanga kikosi cha kazi na bado ankfanya sub za hovyo.
Wachezaji ndio ilikuwa full kupoteana pale kati, yani hawaonani, pasi hazifiki.

Kufupi tulistahili kupigwa hata saba.
Uliangalia mpira vizuri mkuu??

.
 
Rashford kimeo mechi zote MaU alizopoteza huyu dogo kasababisha nafasi za wazi sana anapoteza na hata confidence inapotea. Ole aachane naye
Ole nae mech hii na ya wolves amezingua sana refer sub zake siku hiyo na Leo.Anawabeba waingereza wake na hakuna kitu wanafanya

Sipati picha makosa ya captain yangekuwa yanfanywa na lukaku
 
Leo kuanzia kocha mpaka wachezaji walipanic.
Kocha alishindwa kupanga kikosi cha kazi na bado ankfanya sub za hovyo.
Wachezaji ndio ilikuwa full kupoteana pale kati, yani hawaonani, pasi hazifiki.

Kufupi tulistahili kupigwa hata saba.
We kuna vitu hukuviona kulikua kuna mikakati sana pâle kati yakuwafanya barcelona kutopata mianya ya kupenyeza mipira yahatari, unafikiri barca kufunga goli moja nihiari yao !! Forwad line yako ndo ilikua butu ila midfild players wamefanya kazi yao kiasi chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo mbuzi wa kafara amekua rashford???

Hii shida ilimfanya Ferguson astafu, ole in mtoto mdogo sana

Ila najiuliza hapa hivi seriously mtapanda ndege kwenda catalunya???
Acheni ujinga komaeni na ligi tu muone jinsi gan tunaingia top 4
Huu mfupa hatuuwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom