Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dirisha kubwa tunanunua
Right back
Right wing
Replacement ya Mata
Replacement ya Hererra
Replacement ya Bailly
Tunawapandisha vijana watatu.
Dirisha Dogo tunaongeza
Left wing
Central defender
Plus striker
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi nnavyomuhisi huyu bwana ED anaweza akaleta RB halafu CB akafanya kama haoni kama kuna tatizo au akafanya vice versa.

kuhusu Bailly, ana asilimia chache sana za kuondoka ukiangialia Darmian, Rojo na Valencia wana possibility kubwa ya kuondoka mwishoni mwa msimu sitarajii kuiona United ikinunua defenders zaidi ya wawili.

bajeti ya msimu ujao inavyosemeka ni paundi 200 milioni Darmian na Rojo wataenda kwa pesa kiduchu sana Mata, Herrera na Valencia wataenda bureee so sioni hilo kwa Bailly.

shida ni CB, RB, CM/DM na RW (bora tukose wote lakini tupate RW) so kwa hiyo bajeti tunaweza tukapata mahitaji yetu yote kikamilifu.
 
Ripoti ya CAG
davidkampista-20190412-0001.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kwenye midfield kuna
Fred
Mic Tominay
Pogba
Matic
Lingard
Sidhani kama Ole atanunua midfielder labda Pogba aondoke
Lakini pia ununuzi wa wachezaji itategemea Ole anataka kustrengthen upande gani
Ila RW lazima ipewe priority kubwa hata replacement ya Mata ni muhimu sana
mimi nnavyomuhisi huyu bwana ED anaweza akaleta RB halafu CB akafanya kama haoni kama kuna tatizo au akafanya vice versa.

kuhusu Bailly, ana asilimia chache sana za kuondoka ukiangialia Darmian, Rojo na Valencia wana possibility kubwa ya kuondoka mwishoni mwa msimu sitarajii kuiona United ikinunua defenders zaidi ya wawili.

bajeti ya msimu ujao inavyosemeka ni paundi 200 milioni Darmian na Rojo wataenda kwa pesa kiduchu sana Mata, Herrera na Valencia wataenda bureee so sioni hilo kwa Bailly.

shida ni CB, RB, CM/DM na RW (bora tukose wote lakini tupate RW) so kwa hiyo bajeti tunaweza tukapata mahitaji yetu yote kikamilifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye midfield kuna
Fred
Mic Tominay
Pogba
Matic
Lingard
Sidhani kama Ole atanunua midfielder labda Pogba aondoke
Lakini pia ununuzi wa wachezaji itategemea Ole anataka kustrengthen upande gani
Ila RW lazima ipewe priority kubwa hata replacement ya Mata ni muhimu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Matic ana miaka 30+ na Herrera anaondoka
 
Inaonekana OGS bado anaimani na wachezaji waliopo nyuma katikati lakini hiyo inachagizwa na bajeti aliyonayo na vipaumbele vyake

Kuna source kama mbili nilisoma inaonesha OGS ana mpango wa ku spend kidogo pale nyuma, na Toby wa Spurs mwenye miaka 30 (mwezi wa saba anakuwa na release clause ya £25 million) na Manolas wa Roma mwenye miaka 27 ambaye Julai anakuwa na release clause £ 33 million)

Inaonekana OGS anaona kuna umuhimu wa kuongeza wachezaji wapya offensively kuliko kwenye ulinzi hususani mabeki wa katikati


mimi nnavyomuhisi huyu bwana ED anaweza akaleta RB halafu CB akafanya kama haoni kama kuna tatizo au akafanya vice versa.

kuhusu Bailly, ana asilimia chache sana za kuondoka ukiangialia Darmian, Rojo na Valencia wana possibility kubwa ya kuondoka mwishoni mwa msimu sitarajii kuiona United ikinunua defenders zaidi ya wawili.

bajeti ya msimu ujao inavyosemeka ni paundi 200 milioni Darmian na Rojo wataenda kwa pesa kiduchu sana Mata, Herrera na Valencia wataenda bureee so sioni hilo kwa Bailly.

shida ni CB, RB, CM/DM na RW (bora tukose wote lakini tupate RW) so kwa hiyo bajeti tunaweza tukapata mahitaji yetu yote kikamilifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana OGS bado anaimani na wachezaji waliopo nyuma katikati lakini hiyo inachagizwa na bajeti aliyonayo na vipaumbele vyake

Kuna source kama mbili nilisoma inaonesha OGS ana mpango wa ku spend kidogo pale nyuma, na Toby wa Spurs mwenye miaka 30 (mwezi wa saba anakuwa na release clause ya £25 million) na Manolas wa Roma mwenye miaka 27 ambaye Julai anakuwa na release clause £ 33 million)

Inaonekana OGS anaona kuna umuhimu wa kuongeza wachezaji wapya offensively kuliko kwenye ulinzi hususani mabeki wa katikati




Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza kuwa sahihi kutokana na timu kutokuwa vizuri kwenye kutengeneza nafasi za magoli na kuzitumia.

Ukiangalia striking force yake wakati mwingine inakatisha tamaa,
Martial ni Mzuri ila siyo consistent player kiasi cha kuwa dependable kikosini.

Rashford bado sana anahitaji kukua na yawezekana kiwango chake kisiwe kikubwa kiasi hicho.

Wings zake zote ni butu mno kiasi ya kushindwa kupiga hata cross kwa hiyo ni bora aongeze aweke kipaumbele kwenye offense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habarini nilikuwa nacheck game ya Benfica na Frankurt ya ujeruman.....Joao Felix naomba sana tumfatilie kwa jicho la 3....creativity yake na uelewa wake wa game ni wakiwango chajuu sana ukilinganisha na Miaka yake 19..... Huyu dogo direct anafit nafasi ya Mata na baada ya Miaka 3 anaweza kuwa hatari zaidi ya Kaka alivyokuwa Milan ingawa physically hayupo vizuri kihivo.... Yupo composed sana na anajua anafanya nn.... Beki wao Dias pia mzuri sana na yupo vzuri physically.....

Upande wa Pili nguvu na uwezo wa kushuka chini kubeba mipira alionao luka Jovic sio wa kuupotezea.... Inasemeoana Barcelona ndo wanapigana kumbo na Madrid....Ukizingatia jamaa Yupo kwa mkopo akitokea Benfica, basi tungeweza toa dau zuri tumsajili jamaa ni moja kati ya 9 bora wanaokuja kwa kiasi Kando ya Piatek......

Binafsi nimewaza tutenge pauni 250mil tunaweza sajili Joao Felix japo anaclause ya 100 paun ila ni kamari inayoweza kulipa.... Tumsajili wan-Bissaka,Skiniar, midfielder 1 Kama Neves nafasi 1 ile ya fella Tumpe namba James Garner na pesa nyingine tupeleke kwa hirvin Lozano.....No 9 tuanze kumpa nafasi Mason Greenwood left kule chong aanze kupewa nafasi na angel Gomez pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana OGS bado anaimani na wachezaji waliopo nyuma katikati lakini hiyo inachagizwa na bajeti aliyonayo na vipaumbele vyake
Kuna source kama mbili nilisoma inaonesha OGS ana mpango wa ku spend kidogo pale nyuma, na Toby wa Spurs mwenye miaka 30 (mwezi wa saba anakuwa na release clause ya £25 million) na Manolas wa Roma mwenye miaka 27 ambaye Julai anakuwa na release clause £ 33 million)
Inaonekana OGS anaona kuna umuhimu wa kuongeza wachezaji wapya offensively kuliko kwenye ulinzi hususani mabeki wa katikati
Sent using Jamii Forums mobile app
kama atafanya hivyo kweli basi awe na forward line ambayo inauwezo wa kufunga goli 3 per game
 
Hahahahaha

Hii kauli ni ya kutoiamini defense iliyopo

Ila hata mimi naona bila kusajili beki wa kiwango, wa £ 75+ million hatuwezi kufika popote

Ki ukweli Lindelof namkubali lakini bado si kwa asilimia zote (na huyo ndio Van Dijk wetu)

Tunapaswa kusajili beki wa level ya Koulibaly, De Ligt, Skriniar, (varane anatutumia apate mkataba mnono, ila mzuri) n.k
kama atafanya hivyo kweli basi awe na forward line ambayo inauwezo wa kufunga goli 3 per game

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ex-Arsenal head of recruitment Sven Mislintat has become Stuttgart’s new director of football.
He will now work alongside former Everton and Aston Villa midfielder Thomas Hitzlsperger, who is head of sport at Stuttgart.
Speaking about his arrival at the Bundesliga club, Mislintat said: “It is a huge challenge and at the same time a great honour to work for a club like VfB.
“The talks with [president] Wolfgang Dietrich and Thomas Hitzlsperger were extremely good and decisive for my decision for VfB. “Our joint focus is in the coming weeks on the fight for survival, of course, the look is also already on the plans for the new season.”

Mislintat joined Arsenal from Borussia Dortmund in December 2017.
 

Attachments

  • 1555136414293.png
    1555136414293.png
    165.6 KB · Views: 32
Back
Top Bottom