lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,197
- 28,079
Ni wapubavu.. nimeona jamaa wanakasiriks hadi wanashikana mashati kwenye vibanda vya kucheki Mpira..
Ukitaka kumalizia mkazo wa ugumu wa maisha yako binafsi kwenye ushabiki wa mpira ndio utajikuta unatokwa na matusi bila sababu.
Tumekuwa na akina King Ngwaba humu kila siku tunabishana na sijawahi ona wakitokwa na matusi.
😂😂ajabu leo sijui hivi vitoto vimetokea wapi vinachafua thread.
Tumekuwa na akina King Ngwaba humu kila siku tunabishana na sijawahi ona wakitokwa na matusi.
😂😂ajabu leo sijui hivi vitoto vimetokea wapi vinachafua thread.