Sehemu ya alichoongea OGS jana kwenye Press Conference
Atakuwa ruthless katika kukisuka upya kikosi chake. Kwa maneno yake amesema itakuwa survival for the fittest au survival of the best
Anahitaji wachezaji watakaojitokeza kupambana, kupigania badge. Ametoa mfano wa Scott na Fredy kwenye game za hivi karibuni
Uamuzi wa nani abaki utafanywa na yeye, Mick na uongozi. Je Mick atashiriki kama Assistant Manager au Sporting Director? Jambo ambalo ni la uhakika, japo bado Mick hajasaini mkataba wa kudumu, ni kwamba next season atakuwepo United
Valencia anaondoka msimu ujao. Boss ame confirm hilo. Je ataongozana za Rojo, Herrera, Mata, Darmian, Sanchez & co. Muda ndio utajibu kuhusu hawa wachezaji wengine
OGS amesema mazungumzo na kambi ya Herrera yanaendelea, na hali ya mkataba iliyopo huenda inamuathiri Herrera. Na Herrera kurudi kikosini huenda mpaka mechi ya City au ya Chelsea. Matic yupo karibu kurudi kikosini, pengine leo,
Mechi ya Barcelona ni kipimo cha United ipo wapi kwa kiwango. Bado kuna kazi kubwa ya kufanya.
Sanchez huenda anaweza asiwe tayari mechi ya leo, huenda akawa involved game ya Barca. Lakini kwa sasa Alexis si majeruhi tena (injury free)
Tunahitaji points 15 kuingia top 3
Kunaweza kuwa na sura mpya kwenye nafasi za full backs. Young (red card), Shawa (10 yellow cards). Labda Rojo, Darmian, Phil Jones au kijana academy Lee O'Connor au Brandon wakapata nafasi
Rotation ya wachezaji inaweza kufanyika. Possibly Jesse, Martial wakaanza. Game ya leo inachezwa huku kichwani tukiwaza game ya Jumanne dhidi ya Barca
Sent using
Jamii Forums mobile app