Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu hongereni kwa kucheza vizuri japo tulifungwa

Poleni kwa kusumbuliwa na vidudu Mtu wa kutoka timu nyingine wasiojua mpira zaidi ya matusi (sizungumzii wastaarabu kama Don Clerenzo et al. )

Observation yangu, kiufupi over all tulicheza vizuri, hususani baada ya kufungwa goli

Bado kuna shida kwenye creativity, tunamtegemea sana Pogba ambaye kuna siku huwa hayupo kwenye form (kwa jana amecheza wastani, sio vibaya).

Ole kuna mambo arekebishe

Ana imani na baadhi ya wachezaji hususani wa kiingereza wasio na kiwango toshelezi. Mfano alihitaji sana goli, lakini anamtoa Lukaku (ambaye ni tishio kwenye mipira yote ikiwemo ya juu) halafu anamuacha Rashford (sisemi Rashford ni mbovu, lakini si mchezaji wa kumuweka benchi Lukaku)

Ole alinishangaza pia kumtoa Dalot na kumuacha Young. Young ni captain wetu, anacheza kwa moyo wote kwa ajili ya timu, anajua thamani ya badge ya United lakini uzalendo kwa timu pekee hautoshi, tunahitaji uwezo.

Kumtoa Dalot ambaye ni mpiga krosi mzuri halafu anamuacha Young siamini kama ni uamuzi mzuri. Sub ya Pereira alipaswa kumtoa Young.

Smalling so far he is our best central defender, hata nikiambiwa niwapange kwa umuhimu, ataanza yeye atafuta Lindelof. Najua hapa tunatofautiana.

OGS ameshapata midfielder yake. Pogba akiwa na Fred na Tominay unaona timu inakuwa na haraka hata katika kupanga mashambulizi, kabla ya kufanya usajili OGS ajikite kwenye hii midfielder 3.

Messi alicheza? Sikumuona kabisa, labda kwa sababu ya kimo chake, hakuwa man-marked lakini alipotezwa kabisa. Ukiniambia nikumbushe tukio la Messi jana ni pale alipotoka damu, na virafu uchwara alivyokuwa anacheza.

Kichekesho, leo sisikii Messi akitajwa tajwa

Bosquet alicheza virafu vingi sana, ishara kwamba mechi ulikuwa ngumu kwao.

Nafasi ya kuwatoa Barca bado ipo

Man Utd ni wafalme kutoka nyuma na kushinda. Hili halijaanza msimu huu (waulize Juventus 1998/1999). Sitakumbusha kilichowakuta Juventus na PSG msimu huu.

Lakini bado nakubali Barca ni moja kati ya timu (ngazi ya club) bora duniani, ndio maana inakutana na bora wenzake kama United. Kuna timu humu hazijawahi kukutana na Barca tangu 2006, siku chache baada ya Kikwete kuapishwa kuwa rais wetu kwa mara ya kwanza

Luke Shaw kutokuwepo mechi ya Camp Nou ni kikwazo. Lakini wapo watu watakaofanya kazi ambayo amekuwa akiifanya kwa siku zote.

We are Manchester United



Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwa linderlof mzee umepepesa,,yule Iceman ndio best defender Bora ktk ligi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hongereni kwa kucheza vizuri japo tulifungwa

Poleni kwa kusumbuliwa na vidudu Mtu wa kutoka timu nyingine wasiojua mpira zaidi ya matusi (sizungumzii wastaarabu kama Don Clerenzo et al. )

Observation yangu, kiufupi over all tulicheza vizuri, hususani baada ya kufungwa goli

Bado kuna shida kwenye creativity, tunamtegemea sana Pogba ambaye kuna siku huwa hayupo kwenye form (kwa jana amecheza wastani, sio vibaya).

Ole kuna mambo arekebishe

Ana imani na baadhi ya wachezaji hususani wa kiingereza wasio na kiwango toshelezi. Mfano alihitaji sana goli, lakini anamtoa Lukaku (ambaye ni tishio kwenye mipira yote ikiwemo ya juu) halafu anamuacha Rashford (sisemi Rashford ni mbovu, lakini si mchezaji wa kumuweka benchi Lukaku)

Ole alinishangaza pia kumtoa Dalot na kumuacha Young. Young ni captain wetu, anacheza kwa moyo wote kwa ajili ya timu, anajua thamani ya badge ya United lakini uzalendo kwa timu pekee hautoshi, tunahitaji uwezo.

Kumtoa Dalot ambaye ni mpiga krosi mzuri halafu anamuacha Young siamini kama ni uamuzi mzuri. Sub ya Pereira alipaswa kumtoa Young.

Smalling so far he is our best central defender, hata nikiambiwa niwapange kwa umuhimu, ataanza yeye atafuta Lindelof. Najua hapa tunatofautiana.

OGS ameshapata midfielder yake. Pogba akiwa na Fred na Tominay unaona timu inakuwa na haraka hata katika kupanga mashambulizi, kabla ya kufanya usajili OGS ajikite kwenye hii midfielder 3.

Messi alicheza? Sikumuona kabisa, labda kwa sababu ya kimo chake, hakuwa man-marked lakini alipotezwa kabisa. Ukiniambia nikumbushe tukio la Messi jana ni pale alipotoka damu, na virafu uchwara alivyokuwa anacheza.

Kichekesho, leo sisikii Messi akitajwa tajwa

Bosquet alicheza virafu vingi sana, ishara kwamba mechi ulikuwa ngumu kwao.

Nafasi ya kuwatoa Barca bado ipo

Man Utd ni wafalme kutoka nyuma na kushinda. Hili halijaanza msimu huu (waulize Juventus 1998/1999). Sitakumbusha kilichowakuta Juventus na PSG msimu huu.

Lakini bado nakubali Barca ni moja kati ya timu (ngazi ya club) bora duniani, ndio maana inakutana na bora wenzake kama United. Kuna timu humu hazijawahi kukutana na Barca tangu 2006, siku chache baada ya Kikwete kuapishwa kuwa rais wetu kwa mara ya kwanza

Luke Shaw kutokuwepo mechi ya Camp Nou ni kikwazo. Lakini wapo watu watakaofanya kazi ambayo amekuwa akiifanya kwa siku zote.

We are Manchester United



Sent using Jamii Forums mobile app
Umeeleza vizuri ila kwa Smalling ni beki bora na zaidi ya Lindelof hapana kwa sababu, Smalling hana consistency utaona leo yuko poa kesho yuko hovyo au kesho kutwa kawaida.

Yupo vizuri hewani lakn bado hata urukaji wake una makosa sana na kama refa akiwa macho sana anatoa faulo kila wakati anashikilia sana,kuparamia juu kwa kushiga mwili wa opponent pia sio ball player defender na mara zingine anakosa kujiamini na mpira sababu sio ball player hasa ukim-pressure.

Sub tuko pamoja mimi mwenyewe nilijiuliza why anamtoa Dalot badala ya Young aliyekuwa hovyo kabisa. Sababu angemtoa Young then Dalot angeenda kucheza Rightback na kumuingiza Martial kuja kucheza upande wa kushoto na kumuacha Lukaku kuendelea kucheza.

Then angekuja kumtoa Rashford na kuingia yeyote kati ya Perreira na Lingard lakn Lukaku alipaswa kumaliza mchezo.

Pia nimeona mbinu aliyoitumia OGS upande wa kushoto mwanzo ilifanya sana kazi hasa first half kwa kumzuia Luke Shaw not to attack na kukaa chini kusubiri kukaba huku juu yake akiwa Dalot akifanya kazi zote kama winger,mrusha mipira na kusaidia kukaba upande huo wa kushoto wa United.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
atakapoondoka marcos rojo hii namba 16 ni bora apewe scott mctominay, sielewi kwa nini tunataka kuingia kwenye mtego wa media za kiingereza za kutaka kumsajili declan rice.
hivi rakitic pamoja na arthur melo walikuwepo uwanjani?​
kama yupo mdau anayeamini siku moja rashford atakuwa mchezaji bora basi aendelee kuwa na imani hiyo mpaka kufa kwake.
man utd 0 barcelona 1
View attachment 1068168
Huyu Mc Tominay siyo wa mchezo ni kama ka fletcher vile katulia anakaba kwa ufundi tena ndani ya box bila kusababisha faulo kwa dakika 90 good boy.

Maoni yangu hakuna haja ya kupoteza hela kutafuta DM tena tuzibe pengo la Mata, na hererra kwa kumleta Ruben Neves na christian Eriksen,
Huyo Wan Bisaka aje ajaze nafasi ya Young asiyejua hata kupiga cross,

Tukamchukue Skinniar kuziba nafasi ya Bailly na tutafute wings mbili za maana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka apangwe kuwa defender kasi yake imepungua sana na uwezo wa kupiga cross hana tena
Mkuu leo timu imecheza vizuri sana,pogba hakuwa na utoto.
Fred utadhani sio yule tunayemjua, amefanya kazi nzuri sana huyu jamaa.

Young sijui anapangwa wa nini huyu babu. Mipira yake haifiki lazima agonge mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
√Fred na McTominay wamecheza vizuri sana leo..sioni haja ya kurudi kumpanga Matic kwa mechi zilizosalia

√Sehemu inayotuangusha sana ni mbele kule hakuna Quality inayohitajika..

√Young anaweza sasa kuvunjiwa mkataba wake asepe..Men!! That was pathetic..kina alexender anorld na Robertson wanamaassist ya kutosha,sisi Young kupiga tu hata krosi ya kueleweka hawezi..He can fecking leave now

√kama ni kusajili tuanze kule mbele then turudi kutafuta RB ya maana

√If pogba want to leave,he can f.ecking leave..who cares??
Of course kule mbele kulipwaya sana lakini attacking midfield ilikosa creativity tulihitaji wings nzuri lakin tumepiga cross Moja tu aliokosa dalot.

Young toka awe defender speed imepungua na uwezo wa kupiga cross pia.

Mic Tominay na Fred walifanya kazi yao sawa sawa na wakiendelea kufanya hivi watakuwa viungo bora EPL mbeleni hawakucheza faulo za kijinga na walkaba kwa umakini na kuilinda defence yao sawa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TATIZO Manchester kwa misimu mitatu aijafanya usajili unaoendana na mahaitaji ya timu. Ndio maana leo tunashuhudia timu ikiwa aina wachezaji wabunifu au wanaoweza kuibeba timu inapoitajika.
 
Hahaaaaa nilikuta Jana kibanda umiza
GBWA-20190411124622.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Hahaaaaa nilikuta Jana kibanda umizaView attachment 1068586

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Unaifanya man u izd kuwa timu maarufu duniani ww siunaona mwenyewe unaacha ad kutafuta mkate wakila siku unakazana na keyboard kila mala manchester


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha mpira wanacheza ulaya mnatukanana bongo acheni jazba ambazo hazina maana wakuu


Note:
Kama hutaki kejeli acha kushabikia mpira maana ushabiki wa mpira umejaa kejeli so cha muhimu watu muweze kuhandle jazbah

13SEPTEMBER
 
Habari zenu jamani
Nadhani kila mmoja ameona matokeo ya man u dhidi ya Barcelona .Lakini mashabiki wengi wanaamini kua man u wanaweza kuwatoa Barcelona kwa kupata ushindi camp nou ,mm sidhan kama man u wanaweza kufanya hivyo licha ya kua wamefanya hivyo kwa juventus na PSG .je nyie nn mtazamo wenu.........
 
Back
Top Bottom