Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

√Fred na McTominay wamecheza vizuri sana leo..sioni haja ya kurudi kumpanga Matic kwa mechi zilizosalia

√Sehemu inayotuangusha sana ni mbele kule hakuna Quality inayohitajika..

√Young anaweza sasa kuvunjiwa mkataba wake asepe..Men!! That was pathetic..kina alexender anorld na Robertson wanamaassist ya kutosha,sisi Young kupiga tu hata krosi ya kueleweka hawezi..He can fecking leave now

√kama ni kusajili tuanze kule mbele then turudi kutafuta RB ya maana

√If pogba want to leave,he can f.ecking leave..who cares??
 
Sehemu inayotuangusha sana ni mbele kule hakuna Quality inayohitajika..
upo sahihi brother tupo ovyo sana eneo la mbele kuliko timu kubwa yeyote, mpaka inafika nyakati natamani liverpool watuazime sadio mane, spurs watuazime son pamoja na man city watuazime japo bernardo silva.

yule kocha wa barcelona ni muoga sana anapokuwa ugenini lakini ndio hivyo amekutana na timu inayotabirika eneo la ushambuliaji kabla ya mechi.
 
atakapoondoka marcos rojo hii namba 16 ni bora apewe scott mctominay, sielewi kwa nini tunataka kuingia kwenye mtego wa media za kiingereza za kutaka kumsajili declan rice.
hivi rakitic pamoja na arthur melo walikuwepo uwanjani?​
kama yupo mdau anayeamini siku moja rashford atakuwa mchezaji bora basi aendelee kuwa na imani hiyo mpaka kufa kwake.
man utd 0 barcelona 1
View attachment 1068168
Huyu kijana leo kanifanya nimepata furaha ingawa nimefungwa, ametulia sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man U wakifungwa utawakuta wanaanza kutoa kasoro ya mchezaji mmoja mmoja. Wakishinda utawasikia "Ndo tunaanza"

Piga mbuzi hawa
 
Kocha sub zake za hovyo ilibidi rashford ndo aingie martial acheze kushoto na dalot arudi kulia ila badala yake kamtoa

Sent from my SM-G928C using Tapatalk
Tuma barua ya maombi ya kazi. Mechi ya marudiano mfanye comeback.
 
upo sahihi brother tupo ovyo sana eneo la mbele kuliko timu kubwa yeyote, mpaka inafika nyakati natamani liverpool watuazime sadio mane, spurs watuazime son pamoja na man city watuazime japo bernardo silva.

yule kocha wa barcelona ni muoga sana anapokuwa ugenini lakini ndio hivyo amekutana na timu inayotabirika eneo la ushambuliaji kabla ya mechi.
Quality itatoka wapi wakat kocha ako anaona rashford anauwezo wakufunga kuliko lukaku ! Mpira anajua ila akili yake mbovu afadhali hata ya lingard !

Sent from my SM-G928C using Tapatalk
 
Duniani kama kuna watu wapumbavu ni Mashabiki wa Man U.. ni upumbavu kujiamini na kudhani kwamba Man U.. ingeifunga Barca.. Jiandaeni Kucheza Europa Mwakani.. MotherF*ck..!
Sasa mkuu hasira zote hizi za nini? Mbona umekasirika kuliko hata shabiki wa MUFC?

Ushabiki wa mpira ni mzuri sana,tatizo ni pale mtu anapotaka kuutumia kutibia mkazo wake.
😂😂😂
 
Sasa mkuu hasira zote hizi za nini? Mbona umekasirika kuliko hata shabiki wa MUFC?

Ushabiki wa mpira ni mzuri sana,tatizo ni pale mtu anapotaka kuutumia kutibia mkazo wake.
😂😂😂
Ni wapubavu.. nimeona jamaa wanakasiriks hadi wanashikana mashati kwenye vibanda vya kucheki Mpira..
 
Huyu kijana leo kanifanya nimepata furaha ingawa nimefungwa, ametulia sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umetazama vyema mpira utagundua baada ya kufungwa lile goli wachezaji waliamua liwalo na liwe wakaanza kucheza kwa kujiamini.

Naweza kusema lile goli ni matokeo ya kucheza kwa kutojiamini,hili ndio tatizo la timu yetu kwa sasa. Hawajiamini.
 
Leo kuanzia kocha mpaka wachezaji walipanic.
Kocha alishindwa kupanga kikosi cha kazi na bado ankfanya sub za hovyo.
Wachezaji ndio ilikuwa full kupoteana pale kati, yani hawaonani, pasi hazifiki.
Kufupi tulistahili kupigwa hata saba.
kama tulistahili kupigwa saba na badala yake tukafungwa moja unaanza kucritisice sasa huoni kama timu ndo ilifanya vizuri??
 
Kocha sub zake za hovyo ilibidi rashford ndo aingie martial acheze kushoto na dalot arudi kulia ila badala yake kamtoa

Sent from my SM-G928C using Tapatalk

Kocha hamna analolijua yule leo kazingua sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom