ahahahaaah,hii ligi bana,naona taratibu watu wanashika nafasi zao,watoto wanarudi nyuma na wakubwa wanakwenda mbele.
Hongereni kwa ushindi lakini naomba niwape habari ambazo hamtaki kuzisikia. City anachukua ubingwa msimu huu. Nukta!
Una uhakika?Alama ya kuuliza!