Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

tunafia hukuhuku ktk machimbo!hatoki mtu!

Hahaha...haya jiteteeni sasa, mpira umeisha....
hata intertoto cup imewashinda, njooni tusaidiane EPL....
tutawakamua Man6 angalau muendelee kukang'ang'ania hako ka pwenti...
 
Hahaha...haya jiteteeni sasa, mpira umeisha....
hata intertoto cup imewashinda, njooni tusaidiane EPL....
tutawakamua Man6 angalau muendelee kukang'ang'ania hako ka pwenti...

mkiwafunga man city mtakuwa waungwana sana kwetu kama sisi tulivyokuwa waungwana kwenu kwa kumnyoosha tottenham!all the best!
 
Kwani wao watakuwa wamesimama wanawangoja muwafikie?

nimesema wakiwafikia!wasipowafikia basi imekula kwao!lakini mambo hubadilika pia!leo spain si wameshawapita brazil?ushawahi kuisikia Hungary ya Puskas?ilitisha ulaya nzima kama si dunia!
 
man1.jpg
man2.jpg
man3.jpg
Baada ya kichapo, Fergie admitted kuwa Bilbao ni best team in Europe na akashukuru kwa kutofungwa magoli mengi zaidi!!
 
Back
Top Bottom