moreta
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 296
- 572
Hii yote katuharibia Edwoord baada ya kumsajili Sanchez ambae anacheza hovyo, hana impact kwenye timu lkn analipwa mihela bwelele ndo kasababisha kila mchezaj sasa ku-demand mshahara mkubwa.
Hivi unadhani Martial anastahili kulipwa £200k?? Lakini alitingisha kibirit kuondoka na kutosaini mkataba mpya hyo yote sabab ya Sanchez.
Na jiulize hivi hata Martial angeondoka nani angekubali kumpa mshahara wa £200k so ilikuwa panic ya club kumpa mshahara mkubwa hivyo japo ana umri mdogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unadhani Martial anastahili kulipwa £200k?? Lakini alitingisha kibirit kuondoka na kutosaini mkataba mpya hyo yote sabab ya Sanchez.
Na jiulize hivi hata Martial angeondoka nani angekubali kumpa mshahara wa £200k so ilikuwa panic ya club kumpa mshahara mkubwa hivyo japo ana umri mdogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
