Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tusiposhinda leo madhara yake ni makubwa mno, tutakuwa hatarini kukosa top four, mbaya zaidi wachezaji watakosa kujiamini kwa mechi na Barcelona katikati ya wiki ijayo.
 
Tusiposhinda leo madhara yake ni makubwa mno, tutakuwa hatarini kukosa top four, mbaya zaidi wachezaji watakosa kujiamini kwa mechi na Barcelona katikati ya wiki ijayo.
Ole awaambie hawa watoto wacheze hii mechi kama fainali.

Pale anapocheza lingard aingie mata
 
Ole juzi alisema, points 15 zinatosha kumaliza ligi top 4

Lakini mimi mtazamo wangu ni kama wako, hii mechi tunapaswa kushinda
Tusiposhinda leo madhara yake ni makubwa mno, tutakuwa hatarini kukosa top four, mbaya zaidi wachezaji watakosa kujiamini kwa mechi na Barcelona katikati ya wiki ijayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mimi bado sioni kama tuna kocha na timu yenye kupigania matokeo uwanjani.

Huyu Ole sina imani na ukocha wake licha ya kutuvusha nyakati ngumu.
 
Msare au mpigwe tuweke kambi hapa hadi asubuhi

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Katika michezo iliyobaki futa kabisa point hata moja katika mchezo wetu na majirani. Majirani wanagombea ubingwa hawatataka utani.
Hata sisi tunaamini hivyo kuliko kuku kubeba ndoo bora mkatuachia majirani zenu hizo 3 points hivyo nasi twawaombe mshinde haka ka game ili mihemko ipungue siku za usoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom