lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,197
- 28,079
Bad night, inaumiza kuchapwa na hawa jamaa. Sijui kama kweli tupo serious na top four.
Mkuu kama unaangalia mpira utajua hawa watoto wanajua nini wanataka,wana timu ila sisi tuna mchezaji mmoja mmoja.
Tangu nimeanza kushabikia MUFC sijawahi ona timu ya hovyo kama hii.
Tangu nimeanza kushabikia MUFC sijawahi ona timu ya hovyo kama hii.
