Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wale jamaaa wana roho mbaya sana saiv na Pep anawinda makombe 3, FA....ucl....ligi, na wachezaji anawaaminisha sana kwamba wanaeza beba yote
Hahaha, nimecheka kwa sababu yaani kukutana na Man City wakati huu unajikuta unaomba Mungu akuepushie hicho kikombe.

Majamaa yana njaa ya ushindi. Nasubiri sana kuona battle ya City vs Juve UEFA
 
Pogba aangalie tabia zake. Zina icost team. Yes anakiwango kizuri lakin attitudesio kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lindeloof , mkewe(sijui demu wake) kajifungua. Jamaa kajitoa kwenye timu ya taifa.

Baada ya kujitoa kwenye timu ya taifa, wahuni wakaamua kumtishia maisha.

Kutishiwa maisha. Ole kaamua kutokumpanga kwenye kikosi.

Sent using simu mbovu
 
Not a great performance, but this HAS to be Matic’s last season as a first-teamer. He’s shockingly past-it now.

Herrera had on one of his headless chicken days, and when you combine that with Young’s usual headless chickenry and Mata doing his best impression of a 12 year old pre-pubescent boy’s physical presence, we might as well not have a right side on the field.
 

Hiki kiingereza chako kaka ni kigumu mno, yaani kimezunguka kwelikweli..... sijaelewa chochote ukiachilia mbali majina ya wachezaji. That is round-about english
 
Kwa upande wangu ni Lukaku..labda hayupo fit

Naungana na ww lukaku pia mzur mipira ya juu ni rahisi kubadili mtindo wa timu mkibanwa rashford si mzur juu bado mdogo ajifunze kwanza


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Akili za Mata angekuwa na nguvu angeisaidia sana Manchester United

Mata
Lingard
Pogba hana uimara wa kudumu na kiwango chake maji kujaa maji kupwa
Herrera
Matic

Hao tunadanganyana ukweli usemwe bila kuweka hela za maana pale kati hii timu itakuwa loverpool


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…