Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahah

Bro kula pasi hiyo.. Ukanywee chai
Boya mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20190317_234743.jpeg


Sent using Unknown device
 
Apatikane DOF wa maana tu kila siku nasema pale united kuna wachezaji wengu tu ni midtable teams players kama rashford . Martial. Lingard.jones ..darmian ..rojo ..fred ..smalling..yaan tunabahatisha tu wachezaji wanaostahili kwa sasa kubakai pale united ni degea podba matic herrera lindelof lukaku na shaw zingine ni takataka tu from hawa sasa tuchukue watu wa maana lukaku agombee namba kwa icardi lindelof agombee na coulibaly
 
Watu wanamshambulia Woodward simply he is the only guy they can point fingers at ila sidhani kama Woodward ni mjinga kiasi cha kutumia pesa uselessly namna hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Woodward ni Accountant na yuko vizuri Sana kwenye marketing but now ana-approval technical decision ndio makosa makubwa yanafanyika hapo.Na Glazer wanaona Woodward anafanya vizuri sababu nje ya uwanja still club inaendelea kutengeneza faida


All top club wana CEO but katikati kuna technical people ambao wanafanya technical decision kumsaidia CEO



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanamshambulia Woodward simply he is the only guy they can point fingers at ila sidhani kama Woodward ni mjinga kiasi cha kutumia pesa uselessly namna hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Woodward ana mwajiri Mourinho ambaye tunamfahamu ni kocha anayetaka ready made players ,anamuongezea mkataba na anagoma kumpa fedha za usajili then anamfukuza na kumlipa £20ma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woodward alikuwa sahihi kumfukuza Mourinho ambaye alipewa hela ya kusajili wachezaji.
Pogba
Sanchez
Baily
Mikhtarian
Lindelof
Fred
Ambao wote alikuwa hawatumii na wengine akagombana nao bila hata sababu za msingi.
Hapa Woodward angetoa pesa tena za usajili ndiyo angeonekana mjinga haiwezekani umpe mtu hela ya kusajili wachezaji 6 asiwatumie wote halafu aombe tena pesa ya kusajili
Woodward ana mwajiri Mourinho ambaye tunamfahamu ni kocha anayetaka ready made players ,anamuongezea mkataba na anagoma kumpa fedha za usajili then anamfukuza na kumlipa £20ma

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why alimuongezea mkataba msimu uliopita?
Woodward alikuwa sahihi kumfukuza Mourinho ambaye alipewa hela ya kusajili wachezaji.
Pogba
Sanchez
Baily
Mikhtarian
Lindelof
Fred
Ambao wote alikuwa hawatumii na wengine akagombana nao bila hata sababu za msingi.
Hapa Woodward angetoa pesa tena za usajili ndiyo angeonekana mjinga haiwezekani umpe mtu hela ya kusajili wachezaji 6 asiwatumie wote halafu aombe tena pesa ya kusajili

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juventus naye jana kwa mara ya kwanza kakalishwa viwili na Genoa katika seria A. Ama kweli kwa trend hii ya matokeo, fainali ya UCL itakuwa kati ya Juventus na Manchester United.
Jana juve alipumzisha wachezaj wengi ,usichukulie poa ,kuanzia kipa kadaka namba 2 yule mattia,

Na juve hana cha kupoteza seria A , amemuacha Napoli point 18

Soon anatangaza ubingwa, kwasasa key player wake hutawaona wakicheza Seria A, sasa HIV nguvu zote wamehamishia CL,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mourinho aliongezewa mkataba akiwa hajaanza figisu figisu, kitendo cha yeye kuomba kusajili defender halafu kikosini anadefenders watano na hawatumii wote hata kama ungelikuwa wewe ni Woodward kisingeingia akilini.
Why alimuongezea mkataba msimu uliopita?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my Solar mini using JamiiForums mobile app
 
Mourinho aliongezewa mkataba akiwa hajaanza figisu figisu, kitendo cha yeye kuomba kusajili defender halafu kikosini anadefenders watano na hawatumii wote hata kama ungelikuwa wewe ni Woodward kisingeingia akilini.

Sent from my Solar mini using JamiiForums mobile app
Haya Mou kaondoka, mahitaji ya defender yapo au hayapo?

Kumbuka hao defender watano ni

Rojo-spana mkononi
Jones-
Smalling
Bailly
Lindelof

Sent using simu mbovu
 
Haya Mou kaondoka, mahitaji ya defender yapo au hayapo?

Kumbuka hao defender watano ni

Rojo-spana mkononi
Jones-
Smalling
Bailly
Lindelof

Sent using simu mbovu
Mkuu yapo, ila Mou alikuwa anaomba milion 70 pound ili asjili defender atakaye msaidia kulinda asifungwe na Newcastle,(siriasi timu zote zizomfunga man u zinamadeffender ghali kiasi hicho)
Lakini viongo na washambuliaji ambao hakuomba hela asajili,mbona walikuwa bure kabisa sare za 0-0 na timu zinazoshuka dajara zilikuwa ngapi?
Aliomba hela ya beki mmoja lakini hakuwa na first eleven wachezaji 10 wengine walifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom