Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
Wana wolves , barca home and away, Chelsea, man city , waue zoteGame ipi nibet kabisa?
Sent using simu mbovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana wolves , barca home and away, Chelsea, man city , waue zoteGame ipi nibet kabisa?
Sent using simu mbovu
Eboooo umebadili gear anganiFA kwetu sio muhimu kulinganisha na vita ya top four. All in all mapambano yanaendelea
Mimi juzi nimetoa taadhari kwamba Barcelona si sawa na psg na tusitegemee bahati tuamishie nguvu Top 4 Reality inakataa sisi kufuzu hatua ya nusu fainal
Kuna baadhi ya wachezaji wanafanya mpira uonekane Mgumu sana Wakati si kweli sehemu ya kutoa pasi yeye anipiga ana safari ndefu sanaRashford ana ndoto za kumfikia ronaldo.. lakin kama ni kwa upuuzi huo anaoonyesha... ataishia kuwa kama luis nani.
Mchoyo wa pasi.. anataka kujionyesha kuwa anaweza kufanya kila kitu.. hovyo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu kanikera kwenye mechi ya leo kama huyu martial mkuu. Sijui kwa nini mashabiki wengi tunamuona potential hivyo wakati amekuwa mtu wa matukio baadhi tu na wala si mchezaji wa dakika 90. bure kabisa huyu dogo,auzwe tu tupate mbadala wa kuaminika.
Tukiachana na Mambo ya UEFA top 4 tunaweza maliza lakini tukiweka nguvu kote kote huku Top 4 patatushinda kabisaNdugu, sioni tukimaliza top4.
Rashford ana ndoto za kumfikia ronaldo.. lakin kama ni kwa upuuzi huo anaoonyesha... ataishia kuwa kama luis nani.
Mchoyo wa pasi.. anataka kujionyesha kuwa anaweza kufanya kila kitu.. hovyo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Martial ana kipaji ndio ila ni lazy... mvivu kulik unavyodhani. Anajivuta sana.Hakuna mtu kanikera kwenye mechi ya leo kama huyu martial mkuu. Sijui kwa nini mashabiki wengi tunamuona potential hivyo wakati amekuwa mtu wa matukio baadhi tu na wala si mchezaji wa dakika 90. bure kabisa huyu dogo,auzwe tu tupate mbadala wa kuaminika.
Kabisa Luis nani alikuwa anaujua mpira kuliko TonyHuyo mtoto hata level za Luis Nani hafiki.
Wachezaj wa kingeereza wengi vipaji vya muda mfupi. Baada ya hapo anakuwa wa kawaida. Ndio kitakachompata rashford. Ningekuwa kocha ningemtoa kipind cha kwanzaHuyo mtoto hata level za Luis Nani hafiki.
Combination ya Pogba na Rashford ilikufa kwenye game ya Kwanza ambayo United alifungwa na PSGnadhani Ole abadili njia ya kumfanya Pogba kama Centre ya Kuamsha mashambulizi, timu zingine zimeshtukia....
Toka Game ya Arsenal Pogba anakabwa sana hasipige zile Dangerous Long Balls
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mimi ningekuwa yeye Tangia game na Asno nawapanga wale watoto waliocheza game ya psg Hawa wametoka injury bado hawaja ji updateCombination ya Pogba na Rashford ilikufa kwenye game ya Kwanza ambayo United alifungwa na PSG
OGS anachemsha kupanga wachezaji waliotoka majeruhi ( Herrera,Lingard,Matic) na anawaacha wachezaji waliocheza karibuni na kucheza vizuri Sana (Perreira,Fred, Mctominay)
Aa
Sent using Jamii Forums mobile app
Where there is no ocean there is well mkuuSimba angenifariji, ila nimefurahi mlivyopigwa.
Kabisa Luis nani alikuwa anaujua mpira kuliko Tony