Sijajua ni nini watafanya msimu ujao. Huwezi kuwa na washambuliaji ambao ukiwabana na kuzuia nafasi umewamaliza. Hakuna mchezaji anayeweza hata kupiga chenga mbili tatu akawapangua mabeki, hii ni ajabu kwa timu kama MUFC.

Timu imeishia kupiga pasi zisizo na maana, hamna ubunifu hata kidogo.

Hivi huyu Martial tunayemkuza humu mara nyingi, amefikia hata robo ya ubora wa Nani?
Mimi juzi nimetoa taadhari kwamba Barcelona si sawa na psg na tusitegemee bahati tuamishie nguvu Top 4 Reality inakataa sisi kufuzu hatua ya nusu fainal
 
Sijajua ni nini watafanya msimu ujao. Huwezi kuwa na washambuliaji ambao ukiwabana na kuzuia nafasi umewamaliza. Hakuna mchezaji anayeweza hata kupiga chenga mbili tatu akawapangua mabeki, hii ni ajabu kwa timu kama MUFC.

Timu imeishia kupiga pasi zisizo na maana, hamna ubunifu hata kidogo.

Hivi huyu Martial tunayemkuza humu mara nyingi, amefikia hata robo ya ubora wa Nani?

Hakuna mtu kanikera kwenye mechi ya leo kama huyu martial mkuu. Sijui kwa nini mashabiki wengi tunamuona potential hivyo wakati amekuwa mtu wa matukio baadhi tu na wala si mchezaji wa dakika 90. bure kabisa huyu dogo,auzwe tu tupate mbadala wa kuaminika.
 
Back
Top Bottom