Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Man u kaanza kopotea kwenye gemu, zilikuwa nguvu za soda tena kokakola
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi juzi nimetoa taadhari kwamba Barcelona si sawa na psg na tusitegemee bahati tuamishie nguvu Top 4 Reality inakataa sisi kufuzu hatua ya nusu fainalSijajua ni nini watafanya msimu ujao. Huwezi kuwa na washambuliaji ambao ukiwabana na kuzuia nafasi umewamaliza. Hakuna mchezaji anayeweza hata kupiga chenga mbili tatu akawapangua mabeki, hii ni ajabu kwa timu kama MUFC.
Timu imeishia kupiga pasi zisizo na maana, hamna ubunifu hata kidogo.
Hivi huyu Martial tunayemkuza humu mara nyingi, amefikia hata robo ya ubora wa Nani?
Ningeshinda leo, usingepata usingiziWeekend yangu;
Yanga kafa, Simba kashinda, Man Utd kafa, Liverpool anaua kesho (Leo Jumapili).
Kikosi kinachocheza na barca ni kile kilichomtoa psg.Halafu hicho kikosi ndio mnataka kikacheze na kina messi? Maana hapo amekosekana degea tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa honeymoonMan u kaanza kopotea kwenye gemu, zilikuwa nguvu za soda tena kokakola
Sent using Jamii Forums mobile app
Weekend yangu;
Yanga kafa, Simba kashinda, Man Utd kafa, Liverpool anaua kesho (Leo Jumapili).
Asno bhanaMan utd lengo langu sio kuwatisha ila ni kuwapa tu taarifa mna game na Wolves kwenye ligi natamani kucheka ihihiiihiiii ila najibana aaaa uvumilivu unanishinda bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni udhamini tosha kabisa mpaka after International Break tarehe 30 huko.. Tupumue kidogo.Weekend yangu;
Yanga kafa, Simba kashinda, Man Utd kafa, Liverpool anaua kesho (Leo Jumapili).
Kwhy hivyo vipigo vitaisha lini mkuu?Sasa hivi mtachezea vipigo hadi lig inaisha
Ile honeymoon ishaisha ,kwasasa ni vipigo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua ni nini watafanya msimu ujao. Huwezi kuwa na washambuliaji ambao ukiwabana na kuzuia nafasi umewamaliza. Hakuna mchezaji anayeweza hata kupiga chenga mbili tatu akawapangua mabeki, hii ni ajabu kwa timu kama MUFC.
Timu imeishia kupiga pasi zisizo na maana, hamna ubunifu hata kidogo.
Hivi huyu Martial tunayemkuza humu mara nyingi, amefikia hata robo ya ubora wa Nani?
Mpaka lig iishe watashinda game 1Kwhy hivyo vipigo vitaisha lini mkuu?
Sent using simu mbovu
Game ipi nibet kabisa?
Rashford ana ndoto za kumfikia ronaldo.. lakin kama ni kwa upuuzi huo anaoonyesha... ataishia kuwa kama luis nani.Rashford Hovyo kabisa