Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,354
- 8,469
tupambane tu mkuu.
Mr Romantic
tupambane tu mkuu.
Mkuu kiukweli hakuna timu rahisi katika robo fainali, fc porto kumtoa liverpool ni rahisi mno kuliko man utd kumtoa psg.Naiona fainali ya barca v city pale bernabeu
Sitaki kusema chochote kuhusu game yetu dhidi ya barca,ila kwa rekodi barca pia anaihofia man utd.
Hatimaye liverpool anapumzishwa kidogo baada ya kucheza mechi ngumu za uefa ila man utd kazi inaendelea.
Mkuu dogo kishacheza gem ngumu na kubwa kwa sasa kidogo ana uzoefu
Sawa tutakuja.Naona watu pinzani na timu ya Man u wanakuja mbio mbio na kufurahi kupagwa na barcelona, wembe ulio mnyoa psg bado upo na makali yake, mje hivyo hivyo baada ya second leg..
Huyu Rashidi aliyewekwa mfukoni na Kolasïnac wa Arsenal?Changamoto pekee alonayo utd anapoenda kumkabili barca ni rashford. Yaan yule nikimkumbuka kwamba ndo nnaemtegemea afunge mabao kumtoa barca nakosa hamu ya game yenyewe.
But, all in all, GGM!!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaaaaaaaaHapa cha msingi tu Herera awe mzima siku hio, tunamkabidhi messi tu, na tunamruhusu bora ale umeme kuliko messi kufanya yake, mana tuna mambo mengi na mda ni mchache!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida Rashaford kuna mazingira anakuwa mchoyo had anaboaHapa tunakomaza dogo letu Rashford.kwa miaka miwili atakuwa mtu hatari.sababu atakuwa maturity
Sent using Jamii Forums mobile app