Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kufungwa na Arsenal kumepunguza possibility yetu kumaliza top four ukizingatia wao fixture yao ni nyepesi (hawana big match ) kulinganisha na sisi na wana mechi chache

Ile nguvu ya combination ya Pogba +Rashford inaonekana imepungua kwenye mechi 4 zilizopita,I hope Lingard atarudi mapema kuja kuokoa jahazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini upo UCL wakati unaogopa kupambana na wanaume wenzako?

Si bora ujitoe mashindanoni?

Sisi united ukitupa yeyote tunafumua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha!

Unajua kuna vita ukiingia unajua utashinda lakini resources utatumia nyingi.

Nikipangwa na nyie hata mazoezi sifanyi, wakati hao wengine lazima niumize.
 
muda huu nilikuwa naangalia marejeo ya magoli aliyoyafunga CR7 dhidi ya atletico madrid, nimebaki nashangaa kumuona tena huyu gwiji ronaldo anapopiga kichwa chenye nguvu katikati ya mabeki wagumu kama diego godin na anafunga mara mbili.

baadae naamua kujikumbusha kwa kubonyeza link yenye kuonyesha marejeo ya marcus rashford anapopiga kichwa akiwa peke yake bila ya kubughudhiwa na mchezaji yeyote wa Arsenal na hatimaye anapoteza nafasi baada ya kupiga kichwa dhaifu,

Kiukweli wanafanya dhambi kubwa sana wale wote wanaojiaminisha ya kwamba siku moja marcus rashford atakuwa mchezaji hodari kama ronaldo kwa kutumia kigezo cha umri wake na si bidii yake ya kujifunza .
Pia wanafanya dhambi kubwa sana wale wote wanaomshabikia marcus rashford unapokuja mjadala wa nani zaidi kati yake na kylian mbappe.

kwa mtazamo wangu mechi nne zilizopita marcus rashford amecheza ovyo zaidi kuliko mchezaji yoyote anayecheza eneo la ushambuliaji kwenye timu yetu lakini cha ajabu unaoneka udhaifu wa touch mbovu za romelu lukaku.

Dakika 10 za greenwood zilinifurahisha hapo juzi kuliko dakika 90 za rashford
Ole anatakiwa aanze kumkaripia Rashford.

MUFC pia inakabiliwa na changamoto ya wachezaji kutojituma. Leo anacheza vizuri,anapotea tena anarudi baada ya mechi tano. Hawa sio wachezaji wa kushinda nao makombe.

Angalia Mane anavyojituma,anaweka kichwa na mguu popote ili afunge goli.

MUFC ina wachezaji wenye vipaji kuliko Liverpool,Chelsea na Arsenal ila tatizo lipo katika kujituma na kubaki katika ubora wao.

Huyo Pogba anayesifiwa naye akikabwa na kuporwa mpira mara mbili tatu anatoka mchezoni na kuanza rafu za kijinga.

Kama Ole akipewa timu ni vyema akapewa wachezaji wa kazi.Hawa akina Martial,Rashford katika eneo la ushambuliaji bado sio wakutegemea. Matic pia nadhani huu ndio msimu wake wa mwisho.

Scott na Pereira ndio wachezaji pekee wasio na utoto japo ni watoto.
 
Ole anatakiwa aanze kumkaripia Rashford.

MUFC pia inakabiliwa na changamoto ya wachezaji kutojituma. Leo anacheza vizuri,anapotea tena anarudi baada ya mechi tano. Hawa sio wachezaji wa kushinda nao makombe.

Angalia Mane anavyojituma,anaweka kichwa na mguu popote ili afunge goli.

MUFC ina wachezaji wenye vipaji kuliko Liverpool,Chelsea na Arsenal ila tatizo lipo katika kujituma na kubaki katika ubora wao.

Huyo Pogba anayesifiwa naye akikabwa na kuporwa mpira mara mbili tatu anatoka mchezoni na kuanza rafu za kijinga.

Kama Ole akipewa timu ni vyema akapewa wachezaji wa kazi.Hawa akina Martial,Rashford katika eneo la ushambuliaji bado sio wakutegemea. Matic pia nadhani huu ndio msimu wake wa mwisho.

Scott na Pereira ndio wachezaji pekee wasio na utoto japo ni watoto.
Hakuna mtu simwamini kama Rashford pale OT, na bahati mbaya huyo ndio haguswi kbs hata akiingia uwanjani akaamua kukaa chini adi dk90 ziishe. Ukweli mchungu..huwezi shinda chochote kwa kumtemea rashford!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
muda huu nilikuwa naangalia marejeo ya magoli aliyoyafunga CR7 dhidi ya atletico madrid, nimebaki nashangaa kumuona tena huyu gwiji ronaldo anapopiga kichwa chenye nguvu katikati ya mabeki wagumu kama diego godin na anafunga mara mbili.

baadae naamua kujikumbusha kwa kubonyeza link yenye kuonyesha marejeo ya marcus rashford anapopiga kichwa akiwa peke yake bila ya kubughudhiwa na mchezaji yeyote wa Arsenal na hatimaye anapoteza nafasi baada ya kupiga kichwa dhaifu,

Kiukweli wanafanya dhambi kubwa sana wale wote wanaojiaminisha ya kwamba siku moja marcus rashford atakuwa mchezaji hodari kama ronaldo kwa kutumia kigezo cha umri wake na si bidii yake ya kujifunza .
Pia wanafanya dhambi kubwa sana wale wote wanaomshabikia marcus rashford unapokuja mjadala wa nani zaidi kati yake na kylian mbappe.

kwa mtazamo wangu mechi nne zilizopita marcus rashford amecheza ovyo zaidi kuliko mchezaji yoyote anayecheza eneo la ushambuliaji kwenye timu yetu lakini cha ajabu unaoneka udhaifu wa touch mbovu za romelu lukaku.

Dakika 10 za greenwood zilinifurahisha hapo juzi kuliko dakika 90 za rashford

Kijana wa OGS yule, tusitegemee atamuweka benchi ata akicheza vibaya.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nahic itakua Derby...lets wait kesho
20190314_202150_rmscr-1.jpeg
 
Back
Top Bottom