Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Second half tuliupiga mwingi wale wazee pumzi ilikata kabisa.

Timu zote zilizobaki zina uzito sawa, isipokuwa Barca na City ndo naona kama wako juu kiasi.

Hapana Barca na City sio tishio, tunajua Liverpool akikutana na City lazima amnyooshe. Barca wanamtegemea sana, ukimzuia Messi umeizuia Barca.
Timu za kuogopa ni Porto na Ajax, hawa hawana chakupoteza, kufika quarter final ni hatua kubwa kwao kwa sasa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Liverpool alimfunga wolves mbona cheshiti mechi zote mbili kaambulia point moja? Yaani wolves kachukua point 4 kwa cheshit hivyo ndo tafsi r mpira ilivyo nyie huko kwenu?
Mbna hata kwako tunabeba point nne..

Arsenal kabeba point ngap kwako..

Kwani Man angekutana na wewe uefa raundi hii ya 16 ungeshinda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ungeweza kumtoa man city raundi ya 16?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu pamoja na mambo mengine, mimi kama fans wa Man u , nikushukuru kutokana na mchango wako wakuitangaza Man u. Yaani kule liverpool, barca, arsenal threads nimeona kila timu una wish ikutane na man u quarter final.
Naona hata uzi wenu wa chelsea umeususa.

Sent using simu mbovu
 
Hapana Barca na City sio tishio, tunajua Liverpool akikutana na City lazima amnyooshe. Barca wanamtegemea sana, ukimzuia Messi umeizuia Barca.
Timu za kuogopa ni Porto na Ajax, hawa hawana chakupoteza, kufika quarter final ni hatua kubwa kwao kwa sasa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Messi hazuiliki ndio tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana Barca na City sio tishio, tunajua Liverpool akikutana na City lazima amnyooshe. Barca wanamtegemea sana, ukimzuia Messi umeizuia Barca.
Timu za kuogopa ni Porto na Ajax, hawa hawana chakupoteza, kufika quarter final ni hatua kubwa kwao kwa sasa.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mkuu kuna adui hata kama unaweza kumshinda lakini siyo wa kumwombea.

Man City mimi siombi kukutana naye mapema kabisa, bora hata iwe mbeleni huko.

Messi kila timu inapokutana naye kunakuwa na mipango mingi ya kumdhibiti, nani anayefanikiwa?
 
Back
Top Bottom