Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Hongereni wakuu.
evra mchokozi
nini kumpelekea saburi lake Suarezzz
congrats wakuu
ila evra na suarez wote ni vichaa tu, hakuna mwenye nafuu
Suarez ni Mpuuzi sana........ubaguzi wake unajionyesha wazi kabisa toka kombe la Dunia in South Africa........hafai kuwepo kwenye soka.........."NOTHING BETTER THAN BEATING LIVERPOOL" (By SAF)........and moreover "nothing better seeing RACIST LOOSERFOOLS get a beat (Ogah, 2012)..............
Nachukia sana ubaguzi.......na walaaniwe wale wote wanaounga vitendo vya huyu nguruwe suarez............
congrats wakuu
ila evra na suarez wote ni vichaa tu, hakuna mwenye nafuu
......Yes Evra anaweza kuwa kichaa in your opinion......but in my opinion he is NOT stupid..............suarez ni kichaa na pia ni STUPID!...baguzi la kutupwa lisilofaa kuwemo kwenye friendly sport kama soccer...............damn
Kwa wana-Msimbazi karibuni kwenye jukwaa letu, sherehe inaendelea....
SIMBA 2 AZAM 0
Naona leo wazee wa kulalamika kuwa tumebebwa hawapo, au leo hatujabebwa? Wapi wacha 1
Waache wabebwe lakini nafasi ya pili inawahusu, Jumamosi wabebwe tena kwa Liver maana wamezoea.