Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama unatumia pc ingia cricifree. Com humo kuna channel kibaoTE="capitalpool, post: 30650465, member: 454811"]Tafadhali naomba any free channel / link ku check game ONLINE!![/QUOTE]
Kama
 
Leo hamtaamini macho yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo zuri kujipa matumaini ila PSG sio timu rahisi kuifunga hasa anapokua home.

PSG hii ina mchanganyiko wa wachezaji wazoefu wanaojua nini cha kufanya na chipukizi wenye kiu ya mafanikio. Haitakua rahisi kufungwa kama wengi wanavyotamani iwe.

Kwa misimu zaidi ya 3 PSG hawajawahi kuvuka hatua hii ya 16 bora ila msimu huu wapo tofauti, kocha wao ana mbinu za ushindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema ukweli pogba ametucost sana kwa ile red card ya kiboya..Nimeangalia line up yetu naona kocha ameanzisha mabeki watano.i wish km pogba angekuwepo ingekuwa rahisi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Starting 11 today
20190306_220423_rmscr-1.jpeg
 
Kama unatumia pc ingia cricifree. Com humo kuna channel kibaoTE="capitalpool, post: 30650465, member: 454811"]Tafadhali naomba any free channel / link ku check game ONLINE!!
Kama[/QUOTE]

巴黎圣日耳曼VS曼联在线直播|3月7日欧冠曼联VS巴黎圣日耳曼直播 - 大赛吧

tumia google chrome itakusaidia kutranslate , hii kitu inaflow free kabisa bila chenga

channel utazipata sehemu iliyo andikwa broadcast signal ambazo ni hizi hapa chini

Broadcast signal Le Tiger anchor pilaf anchor (King Kong hoist baby) sugar spheres anchor pilaf anchor (Sava Di)CCTV5HD PPTV official PPTV official (in Cantonese) HD Champions League S HD H Champions League HD Champions League H1 HD football L Soundtrack HD L HD Football L2
 
Kusema ukweli pogba ametucost sana kwa ile red card ya kiboya..Nimeangalia line up yetu naona kocha ameanzisha mabeki watano.i wish km pogba angekuwepo ingekuwa rahisi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mtu hapo juu kasema "kama uelewa wako kwenye soka ni wa kuungaunga huwezi kuelewa kikosi cha leo"

na mimi naongezea hapo kidogo...timu ikishambuliwa ndio inakuwa na mabeki watano na ikienda kushambulia inakuwa na mabeki watatu tu.... 3-5-2 tumerudi kwa LVG leo.

MWISHO, Pogba hachezi peke yake uwanjani.
 
Back
Top Bottom