Ndio itakavyokuwa hyo lineup tutawapigia counter tu mpira tutawaachia wacheze waoDe Gea
Young Smalling Lindelof Shaw
Perreira McTominay Fred
Dalot Lukaku Rashford
Natembea hivi..
Sawa mkuu, ila usisahau kunikumbusha itakapotokea tukifanya yetu kama kawaida pale EmiratesHahahaha nai screen shot hii post yako
Nitakukumbusha jumapili after massacre
Matic na herrera hawajasafiri na kikosiWakuu habarini.... wakati Leo tunaangalia Real Madrid anavyopambana na Ajax naimani tutakuwa na mawazo juu ya mechi yetu ya kesho....
Nimeangalia traveling squad plus kuwaona kina Sir Alex na David Gill wakiwa na tabasamu kuna vitu Binafsi vinafanya niwe positive juu ya Mechi ya kesho....
Kwanza Inawezekana kesho Matic na Herrera wakaanza pasipo kutarajiwa na naamini hichi tulichokifanya leo kusafiri na hawa watoto ni kuwatoa tu PSG mchezoni kuelekea kesho, wasipange ujinga wa Man marking Kama kawaida yao... So kwa upande wangu kesho Matic na Herrera wataanza na Tomminay katika kiungo.....
Upande wa pili hawa hawa madogo tuliobeba, wanaweza wakaweka historia na wakajihakikishia namba ndani ya timu ya wakubwa endapo wataanza kesho...kwanza tuliowachukua wote Garmer, Gomes,Chong na Greenwood na captain wa under 18 Williams ni wachezaji wenye mentality ya kiuaji sana na wanaweza shangaza dunia kesho....
Hawa watoto wanne wanaweza kutupa kitu kizuri kwanza aina yao ya uchezaji bado haijajulikana specifically na PSG, maana hawajacheza game nyingi kiasi cha kusema PSG wawafatilie, Pia hawa watoto wanajua maisha yao ya professional na fame yanaanzia game ya kesho endapo watafanya vizuri....so naimani wanaweza kujituma zaidi na kutupa kitu cha tofauti....
All in all naimani kesho tunaanza na strikers wawili kama game zetu 2 zilizopita.....
My orediction...
De Gea
,bailly, Linderlof, smalling, shaw
Herrera Matic. Tomminay
Young Rashford. Lukaku
#GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajasafiri na kikosi lakini huenda wameenda na private jetKwani matic na herera wamesafir na kikosi?
Hii mbungi inapigwa saa tana kamili usiku wa leoBros, game saa ngapi?
Hapana, walikuwa talented tu tukawachukua. We made them super stars. Wamefahika sana walipokuja United.Hiyo list ya jamaa inaonesha hivyo ni kweli hao walikua mastaa tayari na walivyokuja kwetu wakaendeleza ustaa wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hichi kikosi kinaeza pigwa ata nane..De Gea
Young Smalling Lindelof Shaw
Perreira McTominay Fred
Dalot Lukaku Rashford
Natembea hivi..
Hii mbungi inapigwa saa tana kamili usiku wa leo
Okay, Shukrani!!!
Acha ubishi wewe angalia bei ya de gea tuliyomchukulia kutoka atletico,angalia bei ya Martial hao wote walibreak record za dunia sababu ni uwezo wao.valencia alkua na kiwango bora kabisa cha kumreplace cr7Hapana, walikuwa talented tu tukawachukua. We made them super stars. Wamefahika sana walipokuja United.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia hiyo orodha, kisha angalia na hii orodha hapa chiniAcha ubishi wewe angalia bei ya de gea tuliyomchukulia kutoka atletico,angalia bei ya Martial hao wote walibreak record za dunia sababu ni uwezo wao.valencia alkua na kiwango bora kabisa cha kumreplace cr7
Sent using Jamii Forums mobile app
ExactlyDe Gea
Young Smalling Lindelof Shaw
Perreira McTominay Fred
Dalot Lukaku Rashford
Natembea hivi..
Mimi nazungumzia players jamaa alio waorodhesha ofcourse Man Utd inastahili pia kusajili talented playersAngalia hiyo orodha, kisha angalia na hii orodha hapa chini
Depay,
Bebe,
Oberten,
Zaha,
Kisha muamue kuhusu ubishi unaoendelea
Sent using Jamii Forums mobile app