lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,198
- 28,080
Lukaku ana weakness moja inayonifanya nisimuone kama anafaa, ni kukosa control na kupoteza mipira kizembe.
Nikweli kwakuwa mashabiki ni mchezaji wa 12 na Man U alikuwa home
]
Na kubebwa juu
mbona umekuja resi sana
Chunga mdomo wako
Hivi tangu EPL ianze kumewahi kuwa na mchezaji asiyejua kucontrol kama Lukaku?
Wamiliki wa city, hawaitumi timu kama chanzo cha mapato.Kwenye press conference ya Pep jana amesema city inahitaji wachezaji 4 au 3 ukiangalua form yao na uwezo wao sijui sisi tutafanya nini tusiposajili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ni kweli hana control kama MorataLukaku ana weakness moja inayonifanya nisimuone kama anafaa, ni kukosa control na kupoteza mipira kizembe.
Kwa upigaji huu aache kupiga penalti, kuna wakati atatuingiza kwenye matatizo, mimi huwa naona penalti zake hazina uhakika sanaKuna watu huwa ni wabinafsi sana, mmojawapo ni Pogba
Angekuwa muungwana angempa Lukaku ajaribu kupata hat trick
Sisemi hivi kwa kuwa amekosa penalty (kwa sababu kukosa sometime kunatokea), ila nimesema hapa kijiweni ninapoangalia mpira kabla hajapiga penalty
Anyway ndivyo alivyo, na ni mchezaji wetu muhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo majukumu kapewa toka Mou yupo.Nashangaa ni kwanini hakumuachia mwenzake aondoke na mpira.
Pogba sio mpigaji mzuri wa penalty,sijui ni kwanini kocha kampa hayo majukumu. MUFC wapigaji wazuri wa penalty ni Mata na Herrera, haya young pia na Martial wanamzidi pogba. Tatizo ni masifa mengi.
Anasupport MOU fcHivi we jamaa una support timu gani??