Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
So'to wamecheza vizuri sana hii game, wametukalia kooni pale kati kati tumepotea kabisa, ila kazi nzuri sana aliyofanya Lukaku imetupeleka nafasi ya nne.
Na kubebwa juuClassic mechi yani magoli yote mazur hamna goli bovu timu zote mbili
Sawa mkuu, anza kulewa leo kwa bili yanguGoli ni makosa ya Young,kumrushia mpira mtu aliyezungukwa na maadui...na huyu Lukaku asee!,cant say more ila anachofanya uwanjani ni kujidhalilisha na siku atakayoondoka united nitalewa pombe kwa furaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Man Utd 3-2 SouthamptonKwani matokeo vip huko
Japo wewe sio united, lakini umeuliza swali la msingi sana hapaAaah jamaa mbona akiwa anatupia mnamsifia siku ikiwa sio yake mnamponda hivi Bolingoli wa watu?
Duh..... MorataSijawahi kuvutiwa na Lukaku mkuu,mara mia Morata.
Hata Chicharito.Siku watu watakapotambua mpira ni zaidi ya ku drible,
WATAMPA LUKAKU HESHIMA YAKE
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo wewe sio united, lakini umeuliza swali la msingi sana hapa
Hao watoto akina Rashford na Martial sijui wanafanya jambo gani kubwa kiasi cha baadhi ya watu kumchukia Lukaku
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kesho ndo sahivi nipe mrejesho..........Spurs atampiga Arsenal kesho ..wewe utapigwa zitabaki zile zile point tisa..
Hivyo ndivyo inavyofata..
Sent using Jamii Forums mobile app
Chicharito alikuwa ni pocher tu
OyooooooBig man Lukakuuuuu
Sijawahi kuvutiwa na Lukaku mkuu,mara mia Morata.