Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu magoli ya wazi haya na si penalt za kupewa....

Hahahahahahah lol! Mkibebwa nyinyi unafuta!!! magoli ya halali haya....lakini tukipewa penalty sisi basi kosa!!!! Hongera Mkuu 3-3...Rooney au Giggs atafunga la ushindi 🙂🙂

 
Mbona mnakimbia jukwaaa??maana mlikuja kwa wingi sana
 
Hapo Ndio timu za London napokuwa sizipendi zinakuwa na Plastic Fan wengi sasa wanaondokea nini wakati wanataka timu yao ishinde na wapo home? wenyewe Fan ndio wanaikatisha timu tamaa nakuzidi kuwapa sasa hivi United nguvu.
 
Rooney ana hat-trick leo atafunga dakika ya 95
 
Hivi hawa Chelsea mbona vilaza namna hii? magoli yote matatu wanashndwa kuyalinda, am fed up
 
Hahahahahahah lol! Mkibebwa nyinyi unafuta!!! magoli ya halali haya....lakini tukipewa penalty sisi basi kosa!!!! Hongera Mkuu 3-3...Rooney au Giggs atafunga la ushindi 🙂🙂


Hahahahhaha mkuu vipi lile lenu na Aston Villa lilikuwa ni sawa lakini hahaha,hatujabebwa bana ni game hii mkuu
 
Back
Top Bottom