radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,291
Halafu aanakuja mtu humu anadai huyu kocha ni wakuokoteza.
Angekuwa jose hapa hii game angewaambia wazuie mwanzo mwisho hakuna kwenda mbele
Namuona sir alex ndani ya solskjaer kwa mara ya kwanza nimefurahi timu kuchezesha viungo wadogo na bado tukawasumbua