Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukweli ni kuwa Man U hii ya Ole haikuwahi kucheza vizuri kila mechi wakicheza na wakubwa wenzake
Na Spurs De Gea ali okoa one against one 11
Na PSG mkafungwa
Leo pia mtafungwa
Na Chelsea hao wapo hovyo mno kwa sasa!

Umeona viungo uliopangiwa hadi salah katolewa liverpool mnatia huruma kwa yale mapengo ya kiungo na ushambuliaji mnekiwa nayo tungewafumua vibaya sana

Rashford dakika 75 kacheza mgonjwa lukaku na sanchez siwahesabii sana ina maana mmecheza na watu 7 timilifu


Na ktk top 5 solskajaer kambakisha pep tu wengine wote mmeshindwa kumfunga akiwa na timu dhaifu
 
I have seen a lot of Mourinho's United like this one

Even some of SAF 's United, notably the one with Barca at Wembley

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeuliza mechi ya aina gani kabla kunijibu. Sizungumzii performance,nazungumzia majeruhi. Wachezaji watatu wanaumia ndani ya dakika 25! Kwa matokeo haya ni kama United wameshinda.
 
Ukweli ni kuwa Man U hii ya Ole haikuwahi kucheza vizuri kila mechi wakicheza na wakubwa wenzake
Na Spurs De Gea ali okoa one against one 11
Na PSG mkafungwa
Leo pia mtafungwa
Na Chelsea hao wapo hovyo mno kwa sasa!
Sizungumzii performance, nazungumzia majeruhi. Wachezaji watatu wanaumia ndani ya dakika 25 si kitu rahisi. Kwa matokeo haya Liverpool kapoteza point tatu Manchester United kapata point moja.
 
Dont fool urself, Points 4 zimeondoka msimu huu vs LFC

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka jana pia tulichukua points 4 kwa Looserfools

Mwaka huu ilibidi wapate points 6 kulingana na majeruhi waliyoyapata United kwenye game ya leo

Hata mechi ya leo, pamoja na wao kumiliki mpira zaidi lakini United walikuwa hatari zaidi, mfano nafasi ya Lingard na Martial

Swali la kizushi, Matokeo haya yamemuweka nani kwenye wakati mgumu kati Man Utd kwenye mbio za top 4 na Looserfools kwenye mbio za ubingwa?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka jana pia tulichukua points 4 kwa Looserfools

Mwaka huu ilibidi wapate points 6 kulingana na majeruhi waliyoyapata United kwenye game ya leo

Hata mechi ya leo, pamoja na wao kumiliki mpira zaidi lakini United walikuwa hatari zaidi, mfano nafasi ya Lingard na Martial

Swali la kizushi, Matokeo haya yamemuweka nani kwenye wakati mgumu kati Man Utd kwenye mbio za top 4 na Looserfools kwenye mbio za ubingwa?



Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo haya yamempandisha LFC had kileleni mbio za ubingwa huku yakimtoa Nyumbu top 4.
Lete swali lingine la kizushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom