United anashinda hii gameNi kweli, mechi kama hizi zinakuwa tactically zaidi, hivyo usijeshangaa mwisho wa mchezo Man Utd akashinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
United anashinda hii gameNi kweli, mechi kama hizi zinakuwa tactically zaidi, hivyo usijeshangaa mwisho wa mchezo Man Utd akashinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na arsenal?Ukweli ni kuwa Man U hii ya Ole haikuwahi kucheza vizuri kila mechi wakicheza na wakubwa wenzake
Na Spurs De Gea ali okoa one against one 11
Na PSG mkafungwa
Leo pia mtafungwa
Na Chelsea hao wapo hovyo mno kwa sasa!
Mkiifunga Chelsea nyie, mpo boraUkweli ni kuwa Man U hii ya Ole haikuwahi kucheza vizuri kila mechi wakicheza na wakubwa wenzake
Na Spurs De Gea ali okoa one against one 11
Na PSG mkafungwa
Leo pia mtafungwa
Na Chelsea hao wapo hovyo mno kwa sasa!
Arsenal hovyo nao wapo
Asno mida hii alikuwa ameshakula 3 alivyo cheza na LiverpoolArsenal wapo Top 4
Sababu pale ukimwangalia Allison alikuwa Kalala upande mmoja una mchopia tuNdio utofauti wa mchezaj wa bilioni 98 na mchezaji wa mia mbili
Man Utd, nipigieni huyo kuku gori 1 tu.wana wa mji tuendelee na maono yetu ya ubingwa huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anything can happen under this roof of injuries... Never give upBahat mbaya tuna majeruhi
Sijui nitajisikiaje tukiwachapaHii game tunaweza kuwaotea dakika za mwisho.