Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,005
- 7,383
Ndiyo mkuu tukipata viungo wawili wa kazi watatusaidia sanaMkuu kumbuka tunashinda ila hatuna ubavu wa kumiliki mpira yaani hatufichi kabisa mpira
Ila sina mashaka na kocha suala la kuifumua timu lipo palepale ashley young si namba 3 wa kutegemewa ujue tunaweza kulaumu wakina smalling na jones kuna watu magarasa lukaku hata mata na sanchez angalia hizo namba nilizotaja zipate watu sahihi kwa mwendo wa ole watu watakimbia humu
Sent using Jamii Forums mobile app
