Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Kante he is not happy with Sarri , In summer PSG will go for him if they resolve FFP issue with UEFA.Tulifanya ujinga sisi wenyew tulitakiwa kumchukua kabla hajaenda Chelsea, nikama tulivyozingua kumchukua De bruyne kabla hajaenda City..Chelsea hawawezi tuuzia Kante hata kwa Million 100,hawawezi rudia kosa walilofanya Kutuuzia Matic
Chelsea wamewauza Mata,Matic,Oscar,Luiz,TBO, Lukaku,KDB,Costa miaka ya karibuni hata Hazard (their most valuable player) kama Madrid wakipeleka ofa wanamuuza hawawezi kuacha kutengeneza faida ya £60m challenge kubwa ni kama Chelsea watafungiwa na UEFA hawawezi kumuuza
Sent using Jamii Forums mobile app