Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nasema hata Martial awe kwenye kiwango kibovu ni bora akaanza anaweza kufanya kitu kuliko Sanchez jamaa ni ameisha tuache utani. Na timu sio mbaya kihivyo jamaa ni wazoefu first half game ilikua poa tu second ndo tulipotea kidogo.
Kuuza watu zaidi ya sita pale haikwepeki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Usiseme kipindi cha pili hiyo game PSG wamewakalia kooni tokea dakika ya 28 kipindi cha kwanza
 
"Hii kwenye ndoa tunaiita: honeymoon. Hii honeymoon ikiisha ndiposa unakutana na uhalisia wa mambo... labda unaweza kuwa na bahati ukapata honeymoon ndefu kuzidi wengine wote." - Arsène Wenger akimzungumzia Ole Gunnar Solskjaer na Manchester United.
 
Eti utamwelezeaje hapa mwanao akakuelewa Kama de Gea Ali save apo
20190213_233647.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mkuu sisi hayo mashindano sio kipaumbele.

Sent using simu mbovu
Ndio uzuri wa ushabiki hasa wa mpira, tukishinda, kombe letu mwaka huu, mkifungwa, hayo mashindano sio kipaumbele. Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa kipaumbele yenu ni ushiriki na ndio maana mnapigania tu top four? Hata kwa kujirudia rudia hizo statement utazisikia tu. Kesho mkishindwa top four, mtasema top four haikuwa kipaumbele chetu mwaka huu. Haya bana
 
Ndio uzuri wa ushabiki hasa wa mpira, tukishinda, kombe letu mwaka huu, mkifungwa, hayo mashindano sio kipaumbele. Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa kipaumbele yenu ni ushiriki na ndio maana mnapigania tu top four? Hata kwa kujirudia rudia hizo statement utazisikia tu. Kesho mkishindwa top four, mtasema top four haikuwa kipaumbele chetu mwaka huu. Haya bana
Mbona hiyo ni kawaida mkuu ni uhalisia tuu na wala sio ushabiki.
Toka MOU yupo na hata sasa inaonekana tuu Man U kuchukua champion's league sio priority(au niseme haiko kwenye group la timu zinazotazamiwa kuchukua).
Ni vile tuko kwenye mashindano we fight kwa sababu lolote linaweza kutokea.

Kuna teams Kuchukua UEFA ni moja ya priorities zake , team kama juventus, barca,PSG, Man city nk na ndio maana unaona wanachukua wachezaji kuendana na malengo hayo.

Sent using simu mbovu
 
Mbona hiyo ni kawaida mkuu ni uhalisia tuu na wala sio ushabiki.
Toka MOU yupo na hata sasa inaonekana tuu Man U kuchukua champion's league sio priority(au niseme haiko kwenye group la timu zinazotazamiwa kuchukua).
Ni vile tuko kwenye mashindano we fight kwa sababu lolote linaweza kutokea.

Kuna teams Kuchukua UEFA ni moja ya priorities zake , team kama juventus, barca,PSG, Man city nk na ndio maana unaona wanachukua wachezaji kuendana na malengo hayo.

Sent using simu mbovu
Haa haa haa nicheke kwa sababu timu kubwa kama MU haina priority ya EPL wala UEFA sasa priority iko wapi karabao?, FA? .au ushiriki ndio lengo. na akina sanchez analipwa merely mshahara sawa na Ronaldo wa Juve na Messi wa Barca. Hadithi ya Sungura mjanja iko kila kona. Bora hata ligi ni kubwa na ndefu, mashindano mafupi kama UEFA na bado mnasema haikuwa priority, kweli. Tukubali tu haya ni maneno ya mashabiki baada ya kipigo ili kujifariji, usijali kote ni hivyo hata Chelsea tukifungwa leo tutasema Europa sio priority yetu vinginevyo tutaumia sana
 
Haa haa haa nicheke kwa sababu timu kubwa kama MU haina priority ya EPL wala UEFA sasa priority iko wapi karabao?, FA? .au ushiriki ndio lengo. na akina sanchez analipwa merely mshahara sawa na Ronaldo wa Juve na Messi wa Barca. Hadithi ya Sungura mjanja iko kila kona. Bora hata ligi ni kubwa na ndefu, mashindano mafupi kama UEFA na bado mnasema haikuwa priority, kweli. Tukubali tu haya ni maneno ya mashabiki baada ya kipigo ili kujifariji, usijali kote ni hivyo hata Chelsea tukifungwa leo tutasema Europa sio priority yetu vinginevyo tutaumia sana
Kama Europe hutegemei kushinda na sio kipaumbele chenu, uzeni timu na chukueni viti vya uwanja mkatumie bar

Tegemeo pekee la Chelsea kushiriki UCL next season ni kuchukua Europa, hii mbinu Jose aliitumia misimu 2 na ikifanikiwa. Kiufupi Chelsea hawezi kuingia hata top 5, japo Arsenal naye ni wale wale

United hana kikosi imara msimu huu, pia hana kikosi kikubwa sana. Kwa kuwa tupo realistic ndio maana club na mashabiki wanaamini kushindania UCL msimu huu ni kujidanganya. Kushiriki top 4 ni target tosha sana kulingana na msimu wa Man Utd ulivyokuwa na huwezi kuwa na msimu mzuri kila Mwaka

Clean a shit in your house then, come to criticize in mine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haa haa haa nicheke kwa sababu timu kubwa kama MU haina priority ya EPL wala UEFA sasa priority iko wapi karabao?, FA? .au ushiriki ndio lengo. na akina sanchez analipwa merely mshahara sawa na Ronaldo wa Juve na Messi wa Barca. Hadithi ya Sungura mjanja iko kila kona. Bora hata ligi ni kubwa na ndefu, mashindano mafupi kama UEFA na bado mnasema haikuwa priority, kweli. Tukubali tu haya ni maneno ya mashabiki baada ya kipigo ili kujifariji, usijali kote ni hivyo hata Chelsea tukifungwa leo tutasema Europa sio priority yetu vinginevyo tutaumia sana
Unataka kuniambia wewe unaamin Man U ni favorite kuwin UEFA 2018/2019?



Sent using simu mbovu
 
Back
Top Bottom