OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,125
- 24,060
Sasa wewe ndo una uhakika wa kumaliza top four?Kama Europe hutegemei kushinda na sio kipaumbele chenu, uzeni timu na chukueni viti vya uwanja mkatumie bar
Tegemeo pekee la Chelsea kushiriki UCL next season ni kuchukua Europa, hii mbinu Jose aliitumia misimu 2 na ikifanikiwa. Kiufupi Chelsea hawezi kuingia hata top 5, japo Arsenal naye ni wale wale
United hana kikosi imara msimu huu, pia hana kikosi kikubwa sana. Kwa kuwa tupo realistic ndio maana club na mashabiki wanaamini kushindania UCL msimu huu ni kujidanganya. Kushiriki top 4 ni target tosha sana kulingana na msimu wa Man Utd ulivyokuwa na huwezi kuwa na msimu mzuri kila Mwaka
Clean a shit in your house then, come to criticize in mine
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app