Kama Europe hutegemei kushinda na sio kipaumbele chenu, uzeni timu na chukueni viti vya uwanja mkatumie bar

Tegemeo pekee la Chelsea kushiriki UCL next season ni kuchukua Europa, hii mbinu Jose aliitumia misimu 2 na ikifanikiwa. Kiufupi Chelsea hawezi kuingia hata top 5, japo Arsenal naye ni wale wale

United hana kikosi imara msimu huu, pia hana kikosi kikubwa sana. Kwa kuwa tupo realistic ndio maana club na mashabiki wanaamini kushindania UCL msimu huu ni kujidanganya. Kushiriki top 4 ni target tosha sana kulingana na msimu wa Man Utd ulivyokuwa na huwezi kuwa na msimu mzuri kila Mwaka

Clean a shit in your house then, come to criticize in mine

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe ndo una uhakika wa kumaliza top four?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Europe hutegemei kushinda na sio kipaumbele chenu, uzeni timu na chukueni viti vya uwanja mkatumie bar

Tegemeo pekee la Chelsea kushiriki UCL next season ni kuchukua Europa, hii mbinu Jose aliitumia misimu 2 na ikifanikiwa. Kiufupi Chelsea hawezi kuingia hata top 5, japo Arsenal naye ni wale wale

United hana kikosi imara msimu huu, pia hana kikosi kikubwa sana. Kwa kuwa tupo realistic ndio maana club na mashabiki wanaamini kushindania UCL msimu huu ni kujidanganya. Kushiriki top 4 ni target tosha sana kulingana na msimu wa Man Utd ulivyokuwa na huwezi kuwa na msimu mzuri kila Mwaka

Clean a shit in your house then, come to criticize in mine

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wa honeymoon hamkusema hivi, hii ya kwamba hamna kikosi imara imekuaj baada ya PSG kuwatoa mkuku honeymoon. Huko nyuma mlikuwa mnawataja tena wachezaji kwa majina yao. poleni sana. Hata sisi tupo kwenye top 4 hatujatoka, tumeteleza tu na tutarudi muda sio mrefu kuwatoa kwenye nafasi yetu
 
Wakati wa honeymoon hamkusema hivi, hii ya kwamba hamna kikosi imara imekuaj baada ya PSG kuwatoa mkuku honeymoon. Huko nyuma mlikuwa mnawataja tena wachezaji kwa majina yao. poleni sana. Hata sisi tupo kwenye top 4 hatujatoka, tumeteleza tu na tutarudi muda sio mrefu kuwatoa kwenye nafasi yetu
Mkuu wala msipate shida na hawa watu Tar 24 watarudi mtaa wa 6 waliouzoea
 
Hahahaha unafungwa na timu ambayo haijakamilika wakati wewe umekamilika kila kitu..

Wewe huna mpira wa kuifunga Chelsea kama PSG umemshindwa.

Nyumbani anakutandika mbili nunge..

Man city dawa yao wataipata tarehe 25..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ollachuga fanyeni kweli Tar 18 na ninajua mtakuwa na hasira sana halafu sisi tutahitimia tar 24 hawana benki ya kunizuia hawa napiga pale pale OT
 
Mhh..HV jamani huyu MTU hata sijui ni wa aina gani! Akifungwa anaikimbia thread yao hata wiki.ila akisikia matokeo mabaya ya timu pinzani ndio anafufuka.aisee sijawahi kuona MTU coward kama huyu duniani hii ndio Mara yangu ya kwanza. Na siku si nyingi atapitea tena.wewe Jamaa unafurahisha kweli aisee.
Pia kingine unacgonifurqhisha ni kuwa unajiamini sana kabla y mechi hali ukijua kuwa mechi yenyewe ni ngumu ila ukifungwa inakuwa kama kunguru kujiamini kote kunaisha.
Ila angalia nature ya ushabiki wako ndio wale wanqozimia au kujinyonga timu yao ikifungwa. Maana hawataki kukubali uharisia ! Be care kijana tusije kukupoteza maana wewe ni nguvu kazi ya Taifa.Mungu akupe ujasiri mechi zijazo usikimbie pale timu yako inapopata kichapo heavy!
Hahahaha unafungwa na timu ambayo haijakamilika wakati wewe umekamilika kila kitu..

Wewe huna mpira wa kuifunga Chelsea kama PSG umemshindwa.

Nyumbani anakutandika mbili nunge..

Man city dawa yao wataipata tarehe 25..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kuna tabia Fulani za mashabiki humu wa man utd ,kumlaumu either wachezaji au kocha kila timu inapofungwa.hii haipo sawa ujue kuna baadhi ya mechi unafungewa tu kwa tactical au mpinzani kakuzidi mbinu ila siyo kwamba kakuzidi mpila kabisa noo.ndio maana kuna kufungwa kimchezo na kufungwa kimadhaifu.mfano Gadiola alipofungwa na Chelsea alikuwa ana Michigan nyingi kashinda ila kwa bahati mbaya siku ile kazidiwa mbinu na Sari akafungwa ndio matokeo ya mpila.akatulia akafanyia kazi mpinzani alimzidi mbinu gani akaendelea kupata matokeo mazuri.hata mechi ya juzi kwangu ni matokeo tu ndio maana siwezi mlaumu kocha wala wachezaji maana najua mpila ulivyo kuna siku hata ufight vp mambo yanakwenda kombo.so tujilekebishe kuna mechi timu inafungwa kimchezo tu na siyo ubovu wa kocha au wachezaji.hata hao PSG tunaona nao wakipoteza na timu za kawaida either UEFA au ligi yao. Narudia tena hakuna timu isiyofungwa duniani.so ukishinda tegemea one day utafungwa pia .kwangu kufungwa Mara moja siyo kesi sana but kufungwa Mara kwa Mara au kufungwa mfululizo .ndio maana sijawahi on a kocha akisimangwa au kufukuzwa kazi eti kafungwa mechi moja kati ya 11 au 20. Kufungwa ni sehemu ya mchezo so sometimes tukubali matokeo ,kikubwa ni kufanyia kazi mapungufu yetu na kuhakikisha tunashinda mechi zijazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajidanganya mkuu.na siku si nyingi nitakuja kuku prove wrong.kufungwa ni sehemu ya mchezo .timu gani duniani isiyofungwa nitajie niijue pamoja na kula chumvi huku sijawahi Iona.mark my words siku si nyingi nitakuja kukutag kwenye post yangu kili nikukumbushe! Kwenye mpila wa miguu hakuna hicho unachoita honeymoon. Kufungwa mechi moja ukiwa umeshinda mechi kumi kwangu sioni tatizo .ndio tumefungwa ila wachezaji walijituma so ni matokeo tu!
We waache, walikuwa wanajidanganya na Ole Gunar na honeymoon imeisha ngoja waanze kuonja ugali wa njegere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We waache, walikuwa wanajidanganya na Ole Gunar na honeymoon imeisha ngoja waanze kuonja ugali wa njegere
Kwangu naona timu yako ndio IPO kwenye sintofahamu maana mechi nyingi munapoteza na kwa idadi kubwa ya magoli .

Arsenal (2-0)
Bournemouth (4-0)
Man city (6-0)

Wewe huoni tatizo hapo ...
Unaona tatizo man utd aliyeshinda mechi 9
Draw 1
Lost 1

Kama kweli maajabu hayaishi duniani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Disappointing UCL night

Kama OGS alivyosema, game ya jana ni REALITY CHECK. Imetupa fursa ya kujua timu yetu kiuwezo ipo wapi tunapokutana na wakubwa wenzetu.

Kumfunga Arsenal au Chelsea kunatupotosha kuufahamu uwezo wetu halisi

Hizi mechi pia ni reality check kwa OGS, kuona kama kocha anaweza kutufikisha wapi

Ukweli ni kwamba Ed alipoamua kutosajili January nilijua kuwa kwa mwaka huu hatuna mpango wa kufika mbali kwenye hii michuano ya UCL

Alexis anazidi ku prove kwamba yupo kwenye wrong club au United ilisajili wrong player. Jambo chungu kuhusu ndoa ya United na Alexis ni kwamba ni ngumu sana kutenganishwa. Ni timu gani inayoweza kumsajili Sanchezi na kumlipa £475K kwa wiki? TUENDELEE KUVUMILIANA SISI NA ALEXIS WETU.

Back to the core. Jose had a point, mashabiki pia tumekuwa sahihi, we have to spend on players. We have to remove passengers players.

Mechi ya jana Wachezaji waliofanya jambo/mambo linalokumbukika

Matic (Outstanding)
Herera (Average)
Pogba (Good)
Lingard (Good)
Degea (Good)

Waliokuwa na bad game Rash na Martial,

Bado naamini Lukaku ni muhimu kwenye timu yetu, kumuamini Rash kuongoza timu ni too risk

Kuelekea game ijayo (second leg)

Kuwa nyuma kwa goli 2 ugenini kumetuweka pagumu mno

Pogba kutocheza, haitatusaidia kabisa

But in champion League anything can happen

When its Manchester United, anything can happen

Coments za wasiojua mpira

Hawaelewi kuwa mpira ni dynamic sana. Wanasema angekuwepo Neymar au Cavani mambo kwa United yangekuwa magumu sana

U never know. Mfano jana PSG wamecheza direct football sana, na mpira wa direct ndio unamuwezesha Mbape ku shine.

Pengine. Narudia tena, PENGINE angekuwepo Neymar na mbwembwe zake angechelewesha mashambulizi na matokeo yasingekuwa vile.

Kwa sasa inatosha





Sent using Jamii Forums mobile app
Sanchez auzwe anunuliwe Marco Reus.
Replacement ya fellain aje Marco Verrati au Rabiot
Juan Mata awe replaced na Christian Eriksen.
Phil Jones awe replaced na Harry Maguire au Skinnar
Replacement ya Lukaku anaweza kuwa Icardi au Harry Kane tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sanchez auzwe anunuliwe Marco Reus.
Replacement ya fellain aje Marco Verrati au Rabiot
Juan Mata awe replaced na Christian Eriksen.
Phil Jones awe replaced na Harry Maguire au Skinnar
Replacement ya Lukaku anaweza kuwa Icardi au Harry Kane tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea la maana.

Pesa ipo itumike japo Ed alivyo mchumi atagoma kutoa fungu la kununua hawa.

Usisahau Young na Valencia nao wa kuondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Valencia hana nafasi tena man u young bado anaweza kuwa retained kama back up options tunapokuwa na injuries
Kwangu mimi naona tunawahitaji.

Marco Reus
Marco verrati au Rabiot
Skinnar au Maguire
Christian eriksen au delle Alli
Icardi au Kane
Umeongea la maana.

Pesa ipo itumike japo Ed alivyo mchumi atagoma kutoa fungu la kununua hawa.

Usisahau Young na Valencia nao wa kuondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sanchez auzwe anunuliwe Marco Reus.
Replacement ya fellain aje Marco Verrati au Rabiot
Juan Mata awe replaced na Christian Eriksen.
Phil Jones awe replaced na Harry Maguire au Skinnar
Replacement ya Lukaku anaweza kuwa Icardi au Harry Kane tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sorry, umeongea kama hao wachezaji wako academy ya man u.

Marco verrati si rahisi PSG kumuachia, muda huu ambao wanamuhitaji sana.na hata wakimuachia itakuwa ni kwa pesa ndefu sana, so sizani kitu kaa hicho kinaweza tokea. Lakini ni kweli angetufaa sana nazani kucheza eneo la matic pia.

Christian Eriksen, sawa tatizo levy, jamaa yule ni mgumu sana kudeal nae,

Harry Maguire sina neno,

Harry Kane, hii kitu ni ngumu sana, nazani ni 150+£, club yetu haiwez kuspend hivyo , wakati kuna maeneo mengine yanaitaji additions, pia kwanni tulete CF wakti kuna Rashford na Greenwood wanakuja.

Rabiot, huyu atapatikana free, lakini huyu ni more attacking, means ukimueka pamoja na pogba unahitaji DM mzuri sana(sio huyu matic aliyeanza kuchoka)
Ila naamin kocha mzuri anaweza kuwatumia vzr tuu.
Rabiot, mama yake ndiye agent wake, ni wasumbufu kiana.

Anyway cha mhimu tupate RW, Deep playmaker, CB, Na RB.

Sent using simu mbovu
 
Valencia hana nafasi tena man u young bado anaweza kuwa retained kama back up options tunapokuwa na injuries
Kwangu mimi naona tunawahitaji.

Marco Reus
Marco verrati au Rabiot
Skinnar au Maguire
Christian eriksen au delle Alli
Icardi au Kane

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kwa jinsi ulivyotaja hao wachezaji ni kama vile wanacheza QPR au Readings au Bolton uko...

Yani kuwapata ni kama unachota maji kisimani iv..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom