Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,343
- 13,864
Wabongo bwana..bro unafikiri atapotezea!! Kuna ma-Analysts special kwa ajili ya hayo mambo mzee...MAN U ni TIMU KUBWA..!!Kocha anatakiwa achek marudio ya game ajiulize kwann tumeshambuliwa sana vile je kulikua na tatizo sehem gani na namna ya kusolve maaana ni hatari sana kukoswa koswa vile ni dalili mbaya kua kuna shida mahali na siku ukukutana na wamaliziaji wazuri utapigwa nyingi
Mkuu mathematically Arsenal akishinda dhidi ya Chelsea itakuwa advantage kubwa kwetu. Mkuu unajua unahamu sana ya kutoka nafasi ya sita, ila fikiria, Chelsea katuzidi point sita, arsenal tuko naye sawa, just goal difference. So arsenal akishinda na sisi Tukishinda dhidi ya BHA Chelsea atadrop na kuwa only 3 points ahead. Hiyo ni advantage kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa martial alimuacha sana shaw kwenye kukaba hakuwa akirud nyuma kwa wakatMashambulizi mengi yametokea kati na upande wa kushoto Shaw hakuwa vizuri na Pogba& Martial hawakuwa wanamsaidia kukaba while upande wa Young haukuwa na shida Sana na Herrera alikuwa anamsaidia Young kukaba.
De Gea amefanya 11 saves na 6 zilikuwa clear chance timu yenye clinical striker leo tungefungwa hata goli 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes. Thats a good advantage. Man City na Liverpool nao wapoteze.Mkuu mathematically Arsenal akishinda dhidi ya Chelsea itakuwa advantage kubwa kwetu. Mkuu unajua unahamu sana ya kutoka nafasi ya sita, ila fikiria, Chelsea katuzidi point sita, arsenal tuko naye sawa, just goal difference. So arsenal akishinda na sisi Tukishinda dhidi ya BHA Chelsea atadrop na kuwa only 3 points ahead. Hiyo ni advantage kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ya Tot ilikuwa strategic sana.Kuna mechi ambazo point 3 ni muhimu no matter how you win the game, a must win game. Game ya Tots was of that calibre.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa martial alimuacha sana shaw kwenye kukaba hakuwa akirud nyuma kwa wakat
Game ilikua hot sana mzee makosa ya mchezaji mmoja mmoja bado hayakuweza kuipa spurs point 3 pale Wembley kipindi cha kwanza kilikua upande wa United utulivu wa pogba ulizaa matunda ya kupata goli la kwanzaIla tuwe wa kweli Jana Mistakes za Pogba nyingi zilikuwa zinapeleka mashambulizi hatari sana kwetu.
Martial alikuwa off form ndiyo maana kafanya successful run Moja tu.
Young alikuwa uchochoro kwa Son japo hakuwa na madhara makubwa kwa sababu Herrera alikuwa anafanya cover nzuri.
Matic alijitahidi japo bado ni mzito sana na akiwa na mpira anaoption chache sana za kuufanyia akajifunze kwa Marco Verrati anachofanya pale PSG.
Man u walifanikiwa kumdhibiti Eriksen
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila tuwe wa kweli Jana Mistakes za Pogba nyingi zilikuwa zinapeleka mashambulizi hatari sana kwetu.
Martial alikuwa off form ndiyo maana kafanya successful run Moja tu.
Young alikuwa uchochoro kwa Son japo hakuwa na madhara makubwa kwa sababu Herrera alikuwa anafanya cover nzuri.
Matic alijitahidi japo bado ni mzito sana na akiwa na mpira anaoption chache sana za kuufanyia akajifunze kwa Marco Verrati anachofanya pale PSG.
Man u walifanikiwa kumdhibiti Eriksen
Sent using Jamii Forums mobile app
Zingekuwa 12 maana wamepiga 12 shots on target, sasa bila kipa yoote yangekuwa magoli. Lakini hakuna team inayocheza bila kipa.
Hahahahh jamaa hata kutoa hongera hakuna jamani, man utd inavutia kuitazamaZingekuwa 12 maana wamepiga 12 shots on target, sasa bila kipa yoote yangekuwa magoli. Lakini hakuna team inayocheza bila kipa.
GGMU
Mkuu hii team kama imeniloga, jana siku nzima nilikuwa nasubiri hiyo burudani. Lakini De Gea alinifurahisha sana hasa baada ya kuzima midomo ya watu waliokuwa wameanza kusema ni kipa mbovu hasa baada ya kuanza msimu vibaya.Hahahahh jamaa hata kutoa hongera hakuna jamani, man utd inavutia kuitazama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mguu game ilikuwa tamu,Mkuu hii team kama imeniloga, jana siku nzima nilikuwa nasubiri hiyo burudani. Lakini De Gea alinifurahisha sana hasa baada ya kuzima midomo ya watu waliokuwa wameanza kusema ni kipa mbovu hasa baada ya kuanza msimu vibaya.
In one half, maana previous season alifanya 14 saves dhidi ya Arsenal..this time amefanya 11 saves all in the second half.Sio kqa saves zile. He is the top aisee. Kama kuna kipa amewahi ku pull saves kama zile in one match ajitokeze..
Sent using Jamii Forums mobile app